Jamani nimecheka kidogo nizirai.

Jamani nimecheka kidogo nizirai.

chongchung

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2013
Posts
14,301
Reaction score
45,092
Tetesi
1.Naskia una sura mbaya mpaka ukijiangalia kwenye kioo kinaandika Please wait..

2.Dada zako ni wabaya hadi mmeweka tangazo getini eti oa m1 upate wa2 bure.

3.Wewe ni mweus hadi ukibeba mtoto anasinzia akizani giza limeingia

4.Kwenu mko wengi hadi mtoto wa mwisho anaitwa etc

5.Damu yako tamu mpaka mbu huja na vitafunio

6.Kwenu mko wengi mpaka babako akiingia anasema 'hamjambo wananchi'

7.Kwenu kuchafu mpaka inzi na mende huvaa malapa. kwel au wanakucngizia.?


Nyingine!

Acha mzaha! Please! Nahitaji Romance Kutoka Kwako, tena Kwa Mahaba yote!. Sio siri napenda sana jinsi ulivyo, na amsha amsha yako, mara umeninyonya, mara umenilamba, mara unibanie meno, mara unipe ulimi Kiulaini yaani Daah! nadata Mwenzako...
Loh!! Jamani mpaka napata
ugonjwa wa moyo pale unaponiacha
Ni mimi Mpenzi wako
MSWAKI
Piga Mswaki uone ladha yake!
chezea mswak ww!!?
Madaktari wa meno na kinywa wanashauri kupiga mswaki mara umalizapo kila mlo.

Hahahahahahaha!
 
Dah nimecheka hadi nimeugua! Eti kuchafu mende name nzi wanavaa malapa!
 
hahah, unamacho makubwa hadi unajaza vocha bila kukwangua!!!
 
Aise nimecheka hadi watu wananiona kama vile nimechizi ,hasa pale mzazi anasalimia watoto....
 
Mama yako mnene kiasi kwamba akija kukuchukua shuleni anaonekana yuko karibu na kila mtu
 
  • Thanks
Reactions: ilu
unakichwa kikubwa mpaka unapotembea unakishkilia.
 
Hihihiii hahaaaaaa!! Humu ndani kuna machiziii

Hapana hakuna machizi. hili ni jukwaa la matani/jokes. na ni moja kati ya majukwaa bora ya kuondolea stress za kazi na kimaisha hapa JF.
 
Hapana hakuna machizi. hili ni jukwaa la matani/jokes. na ni moja kati ya majukwaa bora ya kuondolea stress za kazi na kimaisha hapa JF.

Dah kweli aisee huku ni stress off....ukitoka uku na still stress zikaendelea yatakuwa mengine tena mwee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom