Mkuu kuna Pub moja inayoitwa laki ci pesa.. Nenda pale utakunwa mpaka utatoka unga.. Cifa kubwa ya pale ni kwamba mwisho wa ciku utaondoka na nguo ya ndani tu..
Kama vile juzi nimeona mama mmoja anaomba msaada ITV! Fanya hima na Mungu atakubariki kwa kukuongezea siku za kuishi badala ya kwenda club (kanga moko) ukaopoa ukimwi na ukapunguziwa siku za kuishi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.