Jamani naumwa

Pearl

JF-Expert Member
Nov 25, 2009
3,036
309
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
 
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
pole sana mama!vichomi na mvua vinahusiana...KWASABABU YA BARIDI...!

hilo lingine,dah!nadhani unakaamno kwenye pc
 
Pole twinushka
baridi ikizidi nayo inaleta vichomi, acha waganga wakupe ushauri hapa!!!
 
Thanks G hili la vichomi yani nakosa raha kabisa!kiuno kimezidi kabisa maana huwa sina tatizo hilo yani nashindwa kusimama mpaka kinapotulia
pole sana mama!vichomi na mvua vinahusiana...KWASABABU YA BARIDI...!

hilo lingine,dah!nadhani unakaamno kwenye pc
 
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
pole sana mamii lakini kiuno ni kazi ya AK kukinyoosha na kufanya massage masaa kadhaa kila siku kitaachia.
 
Thanks G hili la vichomi yani nakosa raha kabisa!kiuno kimezidi kabisa maana huwa sina tatizo hilo yani nashindwa kusimama mpaka kinapotulia

Maumivu ya kiuno yakianza yanachukua muda gani kabla ya kutulia? Ni upande upi unaouma zaidi?
 
Mdogo wangu, pole sana kwa maumivu yanayokupata. Mimi ningependa kukusaidia kwa kukupa ushauri, ila data ulizotoa ni chache. Nina maswali machache tu ya kunisaidia kunipa mwanga. Umesema mvua inaponyesha unaumwa vichomi, je ni mpaka unyeshewe ulowe au hata ukiwa ndani ya nyumba/ ofisi /gari hujalowa lakini bora imenyesha unadhurika? Na hicho kiuno nacho kinatokana na athari ya mvua, yaani ikinyesha tu nacho kinaleta tabu? Haya maumivu yanaendelea kwa muda gani tangu mvua ikisha katika? Je ukisafiri (mathalani unashuka kwenye ndege) unakuta huko uendako mvua ilinyesha kama nusu saa iliyopita bado wadhurika?
 
yani hayajaacha kabisa nimenyanyuka kunywa dawa ni nyuma hapo kenyespinal code naumia kwakweli
 
Pole sana. Ila wakati wa bariki mifupa ndiyo penyewe kama ulikuwa na tatizo hilo, hata hivyo kila kitu kina mwanzo wake. Pia usikute ulifanya sana kazi za kuinama(kiukweli si vinginevyo kusikokuwa na nidhamu). Tumia dawa nyepesi za kuchua kama volin pamoja na mazoezi kidogo. Kama hubby au mtu wa karibu yupo akufanyie massage kidogo. Halafu pia zoezi lileeeeee kwa hubby kama hajasafiri!!!! Within 3 days tupe majibu!!!
 
Mm D,yani mvua au wingu likitanda tu mm naanza vichomi na kifua kinabana sana yani hilo limekuwa ni tatizo mda mrefu sasa niwe kazini,garini etc,kiuno sidhani kama ni sababu ya mvua but huwa sina tatizo la kuno hata nikiwa kwenye cku zangu but leo yani nakiona cha moto kwakweli hata kukaa ni tabu natamani niweke mto hapa nilipo
Mdogo wangu, pole sana kwa maumivu yanayokupata. Mimi ningependa kukusaidia kwa kukupa ushauri, ila data ulizotoa ni chache. Nina maswali machache tu ya kunisaidia kunipa mwanga. Umesema mvua inaponyesha unaumwa vichomi, je ni mpaka unyeshewe ulowe au hata ukiwa ndani ya nyumba/ ofisi /gari hujalowa lakini bora imenyesha unadhurika? Na hicho kiuno nacho kinatokana na athari ya mvua, yaani ikinyesha tu nacho kinaleta tabu? Haya maumivu yanaendelea kwa muda gani tangu mvua ikisha katika? Je ukisafiri (mathalani unashuka kwenye ndege) unakuta huko uendako mvua ilinyesha kama nusu saa iliyopita bado wadhurika?
 
sijafanya kazi ngum mpz ni za kawaida nyumbani kumsaidia dada tu,labda nimwambie dada anisaidie maana ni mm na housgal tu mpz
Pole sana. Ila wakati wa bariki mifupa ndiyo penyewe kama ulikuwa na tatizo hilo, hata hivyo kila kitu kina mwanzo wake. Pia usikute ulifanya sana kazi za kuinama(kiukweli si vinginevyo kusikokuwa na nidhamu). Tumia dawa nyepesi za kuchua kama volin pamoja na mazoezi kidogo. Kama hubby au mtu wa karibu yupo akufanyie massage kidogo. Halafu pia zoezi lileeeeee kwa hubby kama hajasafiri!!!! Within 3 days tupe majibu!!!
 
Pole sana ndugu! je ulisha wahi kupata ajali ya gari kipindi cha nyuma (zaidi ya miaka 10 au hata 5 ) yawezekana hilo likawa tatizo la kuumwa kiuno maana tatizo kama hilo lillishawahi kunipata nilipata ajali ya gari kipindi niko shule 80's niliumia sana nikaja patwa na tatizo la kuumwa kiuno hata kutembea nikawa na shindwa kuja kwenda MOI wakagundua uti wa mgongo wangu una matatizo sababu ya ile ajali nilioipata miaka 30 ilipita nianzishiwa mazoezi ya viuongo palepale MOI hadi leo hii bado hilo tatizo ninalo na siwezi fanya operation kwasababu tatizo limekomaa nila muda mrefu ila unapewa masharti yao ukiweza kutimiza tatizo hilo huwa linapotea, masharti yenyewe ni kutobeba vitu vizito, kutokukaa muda mrefu pahali paoja, kutovaa viatu virefu ama vyenye kisigino, kupungua uzito, kuto inama kwa muda mrefu hata kama unafua jaribu kukaa kwenye kigoda na usiiname muda.
 
Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
Pole sana mama nadhani tatizo kubwa ni baridi kwako kama huko bongo mvua zinanyesha na baridi kibao hilo tu ndo litakuwa tatizo na mbaya zaidi kama unakaa ukanda wa pwani ka Dar utakuwa umezoea joto so baridi kidogo tu lazima usumbuke. Jitahidi kuvaa pull over hasa wakati wa baridi nadhani ndo itakuwa ndo inakuletea vichomi. Kuhusu kiuno nadhatn tatizo laweza kuwa ni baridi au kama ujuavyo mama zetu zikikaribia zile siku za hedhi basi viungo huwa vinauma kwa hili waweza kumeza pain killers. Pole sana dadangu!
 
thx rafikinamshukuru Mungu cjapata ajali kwakweli,pole na ww kwa hayo matastizo
Pole sana ndugu! je ulisha wahi kupata ajali ya gari kipindi cha nyuma (zaidi ya miaka 10 au hata 5 ) yawezekana hilo likawa tatizo la kuumwa kiuno maana tatizo kama hilo lillishawahi kunipata nilipata ajali ya gari kipindi niko shule 80's niliumia sana nikaja patwa na tatizo la kuumwa kiuno hata kutembea nikawa na shindwa kuja kwenda MOI wakagundua uti wa mgongo wangu una matatizo sababu ya ile ajali nilioipata miaka 30 ilipita nianzishiwa mazoezi ya viuongo palepale MOI hadi leo hii bado hilo tatizo ninalo na siwezi fanya operation kwasababu tatizo limekomaa nila muda mrefu ila unapewa masharti yao ukiweza kutimiza tatizo hilo huwa linapotea, masharti yenyewe ni kutobeba vitu vizito, kutokukaa muda mrefu pahali paoja, kutovaa viatu virefu ama vyenye kisigino, kupungua uzito, kuto inama kwa muda mrefu hata kama unafua jaribu kukaa kwenye kigoda na usiiname muda.
 
Thanks lot nadhani huko sahii kabisa ntazingatia hayo thx
Pole sana mama nadhani tatizo kubwa ni baridi kwako kama huko bongo mvua zinanyesha na baridi kibao hilo tu ndo litakuwa tatizo na mbaya zaidi kama unakaa ukanda wa pwani ka Dar utakuwa umezoea joto so baridi kidogo tu lazima usumbuke. Jitahidi kuvaa pull over hasa wakati wa baridi nadhani ndo itakuwa ndo inakuletea vichomi. Kuhusu kiuno nadhatn tatizo laweza kuwa ni baridi au kama ujuavyo mama zetu zikikaribia zile siku za hedhi basi viungo huwa vinauma kwa hili waweza kumeza pain killers. Pole sana dadangu!
 
pole gal, i think you need a strong massage down there (i mean kiunoni) lol, watu msije kuni- quote!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom