Jamani Nauliza Nipate Kujua..... Ilikuwaje?

1. Mungu sio Athumani...sijui kwanini walichagua hilo jina ila msemo wenyewe unamaanisha Mungu sio mwanadamu.Wanadamu tunajulikana kwa uchoyo...wivu na roho mbaya...Mungu hana wivu na watu wake wala hatunyimi yale tunayostahili wala hatuchukii kiasi cha kutopenda tuendelee...kama unaweza unawezeshwa.Na ndio maana huu msemo hua unatumika pale mtu anapopata mafanikio.2. Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi....ni wazi kwamba siku za sherehe hakuna ubaguzi...hata yule mkorofi wa wote atatritiwa kama wenzake...ubwabwa atapata...nguo mpya atavaa.Yani yule ambae katika hali ya kawaida kila mtu anamnyooshea vidole au anamkwepa siku ya sherehe wanakula nae ubwabwa bila matatizo!!3.Mtema kuni ngoja nimfikirie!Btw nimesign in kuchangia hapa tu kwahiyo nategemea Thanks na Likes za kumwaga!Weekend njema kwa wote nnaowapenda na nsiowapenda.MNAJIJUA!!

Ndo maana mimi nimesema Athumani alikuwa ni bahiri wa kutisha...Mungu si bahiri ...Mungu anatoa tu kwa kila mtu ingawa wengine wanaambulia makombo!!
 
Hii methali inatokana na hadithi au simulizi ya mkata kuni (Mtema kuni... Hiki ni kiswahili cha zamani).

Kwa ufupi inasimuliwa kwamba mkata kuni alikwenda porini kwa nia ya kutema kuni (kukata kuni) kutokana na sababu anazo zijuwa yeye au kwa kuzidiwa na mawazo alipofika porini akapitiwa na usingizi (kama bado nakumbuka vizuri) ndio kwanza ulikuwa muda wa Mawio yaani jua linachomoza).

Alipokurupuka... kuangaza uku na uku shoka lake halioni, na hali anakumbuka vizuri kulichukuwa...

Yeye hakahisi labda limedondoka mahali... akaanza kulitafuta kuanzia Mawio mpaka Machweo (Kuzama kwa jua Wakati wa Magharibi) Mwisowe akajikuta amechoka na shoka halionekani.

Akaamua kukaa chini ya mti ili apumzishe akili na kutafakari upya wapi alipolidondosha shoka lake. Wakati anajiandaa kukaa chini kuangalia begani kwake analiona shoka lake... kumbe alikuwa amesahau kuwa shoka lilikuwa amelining'iniza begani kwake...

Hapo ndipo palipo patikana huo msemo wa "Utakiona cha mtema kuni... Kutafuta shoka wakati lipo begani."
 
hizo zote ni hadithi ndefu na zenye mafunzo

ulaya wenzetu huwa wanatunza hadithi zao na kila mtoto anazipitia kuzisoma

sisi ndo kama hivyo,zinapotea kabisa
 
kulikuwa na hadithi ndefu kidogo ya mtema kuni

mtema kuni maana yake anaechanja kuni......

huyu sikumbuki vizuri lakini mwishowe aliuwawa na mfalme..

alituhumiwa kumuambia uwongo mfalme..

yeye alikutana na kichwa cha binaadamu kinaongea....

na akaenda kumwambia mfalme..

mfalme akafunga safari ya kukiona hiko kichwa..
kufika kichwa hakikuongea..
mfalme akaamuru mtema kuni auwawe..

baada ya kuuwawa ,kichwa kikazungumza.....

ni hadithi ndefu nimeikatiza katiza
 
Hii methali inatokana na hadithi au simulizi ya mkata kuni (Mtema kuni... Hiki ni kiswahili cha zamani).

Kwa ufupi inasimuliwa kwamba mkata kuni alikwenda porini kwa nia ya kutema kuni (kukata kuni) kutokana na sababu anazo zijuwa yeye au kwa kuzidiwa na mawazo alipofika porini akapitiwa na usingizi (kama bado nakumbuka vizuri) ndio kwanza ulikuwa muda wa Mawio yaani jua linachomoza).

Alipokurupuka... kuangaza uku na uku shoka lake halioni, na hali anakumbuka vizuri kulichukuwa...

Yeye hakahisi labda limedondoka mahali... akaanza kulitafuta kuanzia Mawio mpaka Machweo (Kuzama kwa jua Wakati wa Magharibi) Mwisowe akajikuta amechoka na shoka halionekani.

Akaamua kukaa chini ya mti ili apumzishe akili na kutafakari upya wapi alipolidondosha shoka lake. Wakati anajiandaa kukaa chini kuangalia begani kwake analiona shoka lake... kumbe alikuwa amesahau kuwa shoka lilikuwa amelining'iniza begani kwake...

Hapo ndipo palipo patikana huo msemo wa "Utakiona cha mtema kuni... Kutafuta shoka wakati lipo begani."

kulikuwa na hadithi ndefu kidogo ya mtema kuni

mtema kuni maana yake anaechanja kuni......

huyu sikumbuki vizuri lakini mwishowe aliuwawa na mfalme..

alituhumiwa kumuambia uwongo mfalme..

yeye alikutana na kichwa cha binaadamu kinaongea....

na akaenda kumwambia mfalme..

mfalme akafunga safari ya kukiona hiko kichwa..
kufika kichwa hakikuongea..
mfalme akaamuru mtema kuni auwawe..

baada ya kuuwawa ,kichwa kikazungumza.....

ni hadithi ndefu nimeikatiza katiza
Wakuu shukrani kwa ufafanuzi japo naona kama habari zimetofautiana sana....Lakini nikiunganisha dots naanza kupata picha....

Kumbe Mtema kuni ni Mchanja/Mkata kuni......... somo la kwanza hilo, ahsanteni sana.
 
1. Mungu sio Athumani...sijui kwanini walichagua hilo jina ila msemo wenyewe unamaanisha Mungu sio mwanadamu.Wanadamu tunajulikana kwa uchoyo...wivu na roho mbaya...Mungu hana wivu na watu wake wala hatunyimi yale tunayostahili wala hatuchukii kiasi cha kutopenda tuendelee...kama unaweza unawezeshwa.Na ndio maana huu msemo hua unatumika pale mtu anapopata mafanikio.2. Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Iddi....ni wazi kwamba siku za sherehe hakuna ubaguzi...hata yule mkorofi wa wote atatritiwa kama wenzake...ubwabwa atapata...nguo mpya atavaa.Yani yule ambae katika hali ya kawaida kila mtu anamnyooshea vidole au anamkwepa siku ya sherehe wanakula nae ubwabwa bila matatizo!!3.Mtema kuni ngoja nimfikirie!Btw nimesign in kuchangia hapa tu kwahiyo nategemea Thanks na Likes za kumwaga!Weekend njema kwa wote nnaowapenda na nsiowapenda.MNAJIJUA!!
Kabla sijakugongea, ngoja kwanza:
1. Inaeleweka na umeielezea inavyostahili, lakini kwanini lilitumika jina la ATHUMANI? Kwanini haikuwa Lizzy, Ashadii, Asprin et el? Hiyo Athumani iliingiaje hapo? Huoni lazima kutakuwa na hadithi flani ambayo labda hatuijui (damn utandawazi, mababu zetu wa siku hizi hawasimulii hadithi...tunagongana nao gesti na kuishabikia Manchester United).....Hii ATHUMANI lazima itakuwa na chanzo bana.... ndo naitaka hapa kama Boss na Xpaster walivyotoa hadithi ya Mtema kuni hapo juu.
2.Nayo ni sawa na inafahamika hivyo. Kwanini afaidi siku ya IDDI peke yake wakati kuna Xmass, pasaka, maulid, Muungano, Uhuru day etc etc? Hauoni hapo pia kuna kahadithi ka kusimuliana?

Haraka bila kuchelewa, hebu kamata hizi za wazee wawili...hii ni baraka tosha na utasamehewa dhambi zote utakazotenda ukiwa na mimba:[h=2]
The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post:
[/h]
Asprin (Today), Dark City (Yesterday)
 
Kabla sijakugongea, ngoja kwanza:
1. Inaeleweka na umeielezea inavyostahili, lakini kwanini lilitumika jina la ATHUMANI? Kwanini haikuwa Lizzy, Ashadii, Asprin et el? Hiyo Athumani iliingiaje hapo? Huoni lazima kutakuwa na hadithi flani ambayo labda hatuijui (damn utandawazi, mababu zetu wa siku hizi hawasimulii hadithi...tunagongana nao gesti na kuishabikia Manchester United).....Hii ATHUMANI lazima itakuwa na chanzo bana.... ndo naitaka hapa kama Boss na Xpaster walivyotoa hadithi ya Mtema kuni hapo juu.
2.Nayo ni sawa na inafahamika hivyo. Kwanini afaidi siku ya IDDI peke yake wakati kuna Xmass, pasaka, maulid, Muungano, Uhuru day etc etc? Hauoni hapo pia kuna kahadithi ka kusimuliana?

Haraka bila kuchelewa, hebu kamata hizi za wazee wawili...hii ni baraka tosha na utasamehewa dhambi zote utakazotenda ukiwa na mimba:[h=2]
The Following 2 Users Say Thank You to Lizzy For This Useful Post:
[/h]
Asprin (Today), Dark City (Yesterday)
hahaha Big Brother ODM, mpaka sasa bado kupata jibu!
 
Swali bado tete hommie.... lakini sie tukiulizwa kwanini valeur haiitwi bia, si tunalo jibu kamili?
Jibu tunalo kabsaaa hmu boyi
Ngoja tusubiri labda atatokea wa kuwaokoa kuhusu huu utata wa Athumani
 
Jibu tunalo kabsaaa hmu boyi
Ngoja tusubiri labda atatokea wa kuwaokoa kuhusu huu utata wa Athumani
Kwanini Valeur si Bia:
Haiwekwi kwenye friji,
Haina povu,
Inaruhusiwa watu kuishea...............
Endelea hapo kommie
 
Athumani:
Alimkosea nini Mungu mpaka ikaibuka huu msemo: MUNGU SI ATHUMANI

Mtemakuni
Huyu alipata adhabu gani mpaka huu mkwala ukaibuliwa "UTAKIONA CHA MTEMAKUNI"

Sikukuu ya Iddi
Ina nini hasa mpaka wakaidi ndo inakuwa kimbilio lao "MKAIDI HAFAIDI MPAKA SIKU YA IDDI"

Babu amejuiliza amekosa majibu.
Hebu msaidieni majibu apate cha kulonga na wazee wenzake kaunta ya juu Ijumaa hii wakati akigida Castle Milk Stout ya baridi kwenye glasi ya moto, iliyochemshwa.

Afu nawatakieni Wikiendi njema:

Msiendeshe mkiwa mmelewa, msifanye ngono zembe...tumieni kondom, ikibidi mzimeze kabisa kwa ajili ya kinga zaidi endapo mtabusiana na maulimi yenu
athuman ni kama imetumika kuwakirisha jina la binadamu kwani mungu huwezi kumfananisha na binadamu
binadamu akipewa nafasi ya kugawa ridhiki anaweza kupendelea lakini mungu hafanyi hivyo
mtema kuni siku moja akiwa katika shughuli zake za kukusanya kuni zilizo kauka porini akajikuta amefunga mzigo wake wa kuni na boooonge la nyoooka ambalo baadaye likamuua kwa kumviringa kuanzia kichwani hadi mguuni
mkaidi yeye kutokana na tabia yake mbovu hawezi pata nafasi ya kukaribishwa dinner/lunch na individuals ila siku ya sikukuu hakuna anayejari nani kakaribishwa na nani hajakribishwa ukizingatia sisi waafrika sherehe hapo zamani ilikuwa inafanyika bila mwaliko wa kadi au kitambulisho
AAAAH MENGINE MNISAIDIE NATOKA KIDOGO
 
athuman ni kama imetumika kuwakirisha jina la binadamu kwani mungu huwezi kumfananisha na binadamu
binadamu akipewa nafasi ya kugawa ridhiki anaweza kupendelea lakini mungu hafanyi hivyo
Big Brother ameuliza kwa nini lilichaguliwa la Athumani na wala sio Idd au Shukuru? Why? kwa nini?
mtema kuni siku moja akiwa katika shughuli zake za kukusanya kuni zilizo kauka porini akajikuta amefunga mzigo wake wa kuni na boooonge la nyoooka ambalo baadaye likamuua kwa kumviringa kuanzia kichwani hadi mguuni
Dah bado hadithi zinajikanganya sijui mkweli ni yupi hapa!
mkaidi yeye kutokana na tabia yake mbovu hawezi pata nafasi ya kukaribishwa dinner/lunch na individuals ila siku ya sikukuu hakuna anayejari nani kakaribishwa na nani hajakribishwa ukizingatia sisi waafrika sherehe hapo zamani ilikuwa inafanyika bila mwaliko wa kadi au kitambulisho
hapa ntakusaidia kidogo, Waliweka neno Idd ili vina viendane na maana Mkaidi hafaidi mpaka siku ya Idd vina vinaendana kuliko kusema Mkaidi hafaidi mpaka chriss mass!! Hapa ODM lazima unigongee like na thanx!!
AAAAH MENGINE MNISAIDIE NATOKA KIDOGO
Ukirudi uje na majibu ya hayo mawili juu
 
athuman ni kama imetumika kuwakirisha jina la binadamu kwani mungu huwezi kumfananisha na binadamu
binadamu akipewa nafasi ya kugawa ridhiki anaweza kupendelea lakini mungu hafanyi hivyo
mtema kuni siku moja akiwa katika shughuli zake za kukusanya kuni zilizo kauka porini akajikuta amefunga mzigo wake wa kuni na boooonge la nyoooka ambalo baadaye likamuua kwa kumviringa kuanzia kichwani hadi mguuni
mkaidi yeye kutokana na tabia yake mbovu hawezi pata nafasi ya kukaribishwa dinner/lunch na individuals ila siku ya sikukuu hakuna anayejari nani kakaribishwa na nani hajakribishwa ukizingatia sisi waafrika sherehe hapo zamani ilikuwa inafanyika bila mwaliko wa kadi au kitambulisho
AAAAH MENGINE MNISAIDIE NATOKA KIDOGO

Mkuu waweza kufafanua hiyo ya mtemakuni kwa kina zaidi? Naona imekuwa na hadithi tatu tofauti
 
Ukirudi uje na majibu ya hayo mawili juu
Hommie una kesi ya kujibu...kumbe mambo ya Iddi ulikuwa unayajua afu unakauka? Kudadadeki...kumbe ni mambo ya vina siyo? Nimekukubali...senksi na likes zikirudi nakugongea tatu kwa mpigo.

Imebaki ya mtema kuni na Athumani sasa! TUPA KULEEE!
 
Hommie una kesi ya kujibu...kumbe mambo ya Iddi ulikuwa unayajua afu unakauka? Kudadadeki...kumbe ni mambo ya vina siyo? Nimekukubali...senksi na likes zikirudi nakugongea tatu kwa mpigo.

Imebaki ya mtema kuni na Athumani sasa! TUPA KULEEE!
hahahaha Hommie hiyo ya Mtema Kuni lazima tukamfufue jamaa mwenyewe atuambie nini kilimpata huko wakati akitema kuni maana mpaka sasa tunahadithi tatu na hatujui mkweli ni yupi!
 
hahahaha Hommie hiyo ya Mtema Kuni lazima tukamfufue jamaa mwenyewe atuambie nini kilimpata huko wakati akitema kuni maana mpaka sasa tunahadithi tatu na hatujui mkweli ni yupi!
Wala si utani....na Asumani naye lazima atafutwe
Afu asumani inaelekea ana visa sana.....unaufahamu huu wimbo

Asumani eh vipi mambo varuvaru
Ukipata chombo kipya usitupe cha zamani
Asumani eeeeeeeeeeeee!
 
Wala si utani....na Asumani naye lazima atafutwe
Afu asumani inaelekea ana visa sana.....unaufahamu huu wimbo

Asumani eh vipi mambo varuvaru
Ukipata chombo kipya usitupe cha zamani
Asumani eeeeeeeeeeeee!
Kweli hommie siju kwa nini huyu athumani ana visa sana,
unakumbuka hii bongo flavor?

Athumani akishalewa lewa....anashindwa kujielewa lewa
Talilalila lilaaaa chicha limemkoleaaaa!!
 
Kweli hommie siju kwa nini huyu athumani ana visa sana,
unakumbuka hii bongo flavor?

Athumani akishalewa lewa....anashindwa kujielewa lewa
Talilalila lilaaaa chicha limemkoleaaaa!!
Athumani haikuja hivi hivi bana, lazima kuna kitu hommie,,,,,, asumani ni noumaaaa....TUPA KULEEE
 
Back
Top Bottom