The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
Tatizo huwa unaweka kingo na kwa wajukuu wakati unapashwa kuwaacha halafu mambo yata-lead ze weiWaacheni wajukuu waje kwangu kwa maana ufalme wa ODM ni wao.
Tatizo huwa unaweka kingo na kwa wajukuu wakati unapashwa kuwaacha halafu mambo yata-lead ze weiWaacheni wajukuu waje kwangu kwa maana ufalme wa ODM ni wao.
<br />Nakutakia mema, nakushauri usiende, fataki atakufataki yule. Habari za Mpwapwa?<br />
<br />
...
<br />Duh!!! Babu kwa kukusanya wajukuu tu haujambo
Na si unajua meno yangu yashachoka, uje unitafunie kabisa. Si umepiga mswaki leo?
Mimi hata sijui ngoja nikachukue vipimo vya DNA kwanza nasikia Babu wakati akiwa kijana damu ilikuwa inachemka kweli<br />
<br />
hivi na wewe ni mjukuu wake na we ni babu?
Juice utatumia maji ya DAWASCO au maji nachuro?Hahahaha...basi nitakutengenezea Juice iwe rahisi kunywa...hapo huhitaji msaada.
Nani alikudanganya imeshapoa?Mimi hata sijui ngoja nikachukue vipimo vya DNA kwanza nasikia Babu wakati akiwa kijana damu ilikuwa inachemka kweli
Huyo ni C.R.A.P!<br />
<br />
hivi na wewe ni mjukuu wake na we ni babu?
Juice utatumia maji ya DAWASCO au maji nachuro?