Jamani Nataka!!!!

Jamani Nataka!!!!

King'asti napenda sana Lift. Kunawengine wananipaga Lift wakati wakushuka wananipa number ya simu na pesa ili ninunuevocha niwe nawapigia simu.
Ahahhaah imetulia hiyo. Baba v muambie hata simu sio yako akugonge na ka galaxy note 3 shaaa! Kweli mjini msingi kiuno, mie konokono imekula kwangu


Ni PM namba yako mie naenda huko, ila tutapitia Morogoro tutalala siku moja then Dodoma siku moja ndo tutageuza speed tutalala tena Tanga siku moja baada ya hapo Tarakea hii..
Utampa lifti ya malazi na vocha?
 
Last edited by a moderator:
Ni PM namba yako mie naenda huko, ila tutapitia Morogoro tutalala siku moja then Dodoma siku moja ndo tutageuza speed tutalala tena Tanga siku moja baada ya hapo Tarakea hii..

baba V una tabia Mbayaaa.
 
Ahahhaah imetulia hiyo. Baba v muambie hata simu sio yako akugonge na ka galaxy note 3 shaaa! Kweli mjini msingi kiuno, mie konokono imekula kwangu



Utampa lifti ya malazi na vocha?

mamiito hii lifti ya kwenda Moshi unapitia Dodoma na morogo Akuu!!!
 
Nilishtuka nikajiuliza ni nini hicho unataka...lol
 
Ni PM namba yako mie naenda huko, ila tutapitia Morogoro tutalala siku moja then Dodoma siku moja ndo tutageuza speed tutalala tena Tanga siku moja baada ya hapo Tarakea hii..

Baba V sasa hapo mtakuwa mnakwenda Tarakea au singidani, hiyo route sijaielewa.

Hahaaa humjui Baba V wewe?Kufika Tarakea -kuna maandalizi,lazima kula,juisi,mziki mwororo,n.k,chezea Baba V wewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom