Jamani Nataka!!!!

Jamani Nataka!!!!

una miaka mingapi ?? kwa ajili ya tathimini kama lift inalipa. natamani nikupe lift, baba V nipe ruksa route yanga via Singida
 
Ni PM namba yako mie naenda huko, ila tutapitia Morogoro tutalala siku moja then Dodoma siku moja ndo tutageuza speed tutalala tena Tanga siku moja baada ya hapo Tarakea hii..

Unabahati umeniwahi kutoa lift maana hiyo ratiba angeipata tukishaanza safari.
 
Ahahhaah imetulia hiyo. Baba v muambie hata simu sio yako akugonge na ka galaxy note 3 shaaa! Kweli mjini msingi kiuno, mie konokono imekula kwangu



Utampa lifti ya malazi na vocha?

Hilo tu...!? aombe jingine, I always go an extra mile kutokana na upendo wangu wa mshumaa.
 
Unabahati umeniwahi kutoa lift maana hiyo ratiba angeipata tukishaanza safari.

Unajua hiki ni kipindi cha likizo, watu wanahitaji kuondoa stress za mwaka mzima, hivyo kutokana na "roho yangu nzuri" nikaona nisiishie kwenye kutoa lift tu ......
 
una miaka mingapi ?? kwa ajili ya tathimini kama lift inalipa. natamani nikupe lift, baba V nipe ruksa route yanga via Singida

Kwa kuangalia mwandiko wake amekidhi vigezo vya kusafiri nami route ndefu. Wewe utampa lift wakati wa kurudi Dar.
 
Back
Top Bottom