Fimbo ya Musa
Member
- Jul 21, 2012
- 94
- 13
Wanajamvi naomba mnishauri: nimekaa kijiji(home) kwa muda wa mwaka sasa baada ya kumaliza degree yangu ya Accountancy na kutafuta kazi pasipo mafanikio yoyote! Nimeamua kuja Dar kwa lengo la kutafuta kazi. NAOMBENI MNISHAURI NIANZIE WAPI JAMANI kwani wengi wenu ni wazoefu wa jiji hili na mnajua maujanja ya kupata kazi. Asante