Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,126
ulichotoa ndio haki yako. katika misingi ya sheria kila mkataba, uwe wa maandisha au si wa maandishi ni sharti utimilizwe. Hata hivyo kama mkataba ni kinyume cha sheria au unakiuka misingi flani basi huo ni batili na hauna mashiko.Kuna mtu nilimwazima pesa kiasi cha mil 1.5 na kuweka dhamana ya nyumba kwa maandishi mbele mtendaji wa kijiji kwa makubaliano ya kulipa ndani ya kipindi cha miezi mitano, alifanikiwa kulipa laki mbili tu hadi muda wa ahadi kuisha na zaidi, hajalipa tena ili kumaliza deni hilo lililobaki...
kwa suala lako sahau nyumba, zingatia Mil. 1.5 tu ulizo mpatia huyo mtu. dhamana si haki yako wa mkopo haufanyi dhamana ikawa haki ya mtu mwingine. kwa kifupi dhamana au hata riba si mali ya mkopeshaji.