Milamule. J
Member
- Nov 23, 2013
- 9
- 4
Kuna mtu nilimwazima pesa kiasi cha mil 1.5 na kuweka dhamana ya nyumba kwa maandishi mbele mtendaji wa kijiji kwa makubaliano ya kulipa ndani ya kipindi cha miezi mitano, alifanikiwa kulipa laki mbili tu hadi muda wa ahadi kuisha na zaidi, hajalipa tena ili kumaliza deni hilo lililobaki.
Nina haki ya kwenda mahakamani kudai haki yangu na kukabidhiwa nyumba endapo mtuhumiwa atashindwa kulipa au nifanye nini ili mtuhumiwa asitoe ahadi za kulipa kidogo kidogo?
Nina haki ya kwenda mahakamani kudai haki yangu na kukabidhiwa nyumba endapo mtuhumiwa atashindwa kulipa au nifanye nini ili mtuhumiwa asitoe ahadi za kulipa kidogo kidogo?