PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,294
Ameachwakumpenda huko ikawaje ukamwacha mkuu
Ameachwakumpenda huko ikawaje ukamwacha mkuu
Acha tu Mkuu... Wengi wameingia ndoani na watu tofauti na mategemeo yao yalivyokuaYaani.
Usiombe yakukute.
Nashindwa hata cha kusema.
Haya mambo uwe unayasikia tu kwa mwenzio/wenzio, usiombe muhusika mkuu uwe wewe mwenyewe
Hiyo ni dhambi ya ubaguzi! Mwalimu alikemea sana hii tabia ya ubaguzi! Ha ha ha ha ha a a a a!!Wanaume wa dar bhana!!
Utakuwa umegundua mkeo anaifahamu username yako.Sasa unataka kuchukua pointi kiulainiiiiiUtaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.
Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni
Very Illogical, And Irrelevant tooKanuni ya mapenzi (love principle) inasema "hakuna wapenzi wanaopendana kwa mizania sawa" (no two lovers can have an equal and balanced love).
Ukiona unampenda sana mpenzi wako ujue yeye amekaa kwako kwa sabb fulani ambazo ni nje ya penzi.
Sababu zaweza kuwa:-
- kiuchumi (anapata nafuu ya kimaisha kwa kuwa na ww)
- kimaumbile (si mzuri sana, hivyo hana options za kutosha).
"Ukiona unampenda sana ujuwe hupendwi, na ukiona humpendi sana ujue unapendwa sana
Umenena.Acha tu Mkuu... Wengi wameingia ndoani na watu tofauti na mategemeo yao yalivyokua
Tunapenda tusipopendwa
Na tunapendwa tusipopenda...
Mwisho wa siku inabidi uingie kishingo upande ama kwa huruma tu upande wa pili wa usipopenda. Matokeo yake % kubwa ndoa inakosa afya...
Natamani wafunguke kama wapo ili tujihadhari nasie.Umenena.
Ukweli mtupu.
Haya mambo yapo sana, na yanatokea kwenye maisha yetu ya kila siku, tena kwa asilimia kubwa sana.
Sema kwa hapa, kama tuwaombe waliopatwa na mikasa wajitokeze, kwa kweli wengi wao kwa asilimia kubwa hawatoweza kujitokeza.
Watajikaza kama mambo yako sawa, kumbe kiuhalisia kuna wengine mpaka tunavyozungumza hivi sasa, wamo kwenye mazito yaliowaelemea
Mimi nampenda sana mpenzi wangu wa zamani wa kuitwa Agness.
Jamani Agness, haya ngoja ninyamaze maana naweza tokwa machozi hapa.
Mtoto ana tako laini yulee.
Na ule ufupi wake.
Macho yake ya kulegea.
Weupe wake (sio mkorogo).
Jamani Agness naumia mie.
Ngoja nitoke, maana.
Agness, naanza kulia.
Hiii, hiii, hiii, ih ih ih.
Huuuu, huuuuu, hiiiii, hiiiii.
Na kwikwi juu,
Kwiu, kwiu, kwiu, kwiu, kwiu
Mmh! Jipe moyo ndugu. Aliimba Lady jaydee kuwa usiusemee moyo. Na Twanga pepeta waliimba kuwa Moyo wa MTU ni kichaka.Very Illogical, And Irrelevant too
aisee hata mimi nampenda sana JennniferUtaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.
Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni
una bahati mbaya na kanuni huzijuiKanuni ya mapenzi (love principle) inasema "hakuna wapenzi wanaopendana kwa mizania sawa" (no two lovers can have an equal and balanced love).
Ukiona unampenda sana mpenzi wako ujue yeye amekaa kwako kwa sabb fulani ambazo ni nje ya penzi.
Sababu zaweza kuwa:-
- kiuchumi (anapata nafuu ya kimaisha kwa kuwa na ww)
- kimaumbile (si mzuri sana, hivyo hana options za kutosha).
"Ukiona unampenda sana ujuwe hupendwi, na ukiona humpendi sana ujue unapendwa sana
Je, unauhakika kwamba nayeye mkeo anakupenda sawa na vile unavyo mpenda?Utaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.
Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni
Mimi nampenda sana mpenzi wangu wa zamani wa kuitwa Agness.
Jamani Agness, haya ngoja ninyamaze maana naweza tokwa machozi hapa.
Mtoto ana tako laini yulee.
Na ule ufupi wake.
Macho yake ya kulegea.
Weupe wake (sio mkorogo).
Jamani Agness naumia mie.
Ngoja nitoke, maana.
Agness, naanza kulia.
Hiii, hiii, hiii, ih ih ih.
Huuuu, huuuuu, hiiiii, hiiiii.
Na kwikwi juu,
Kwiu, kwiu, kwiu, kwiu, kwiu
Maisha mtu wangu.
Kwahili sitofunguka, naona nitajiumiza