Jamani nampenda sana mke wangu Jennifer

noel oga

JF-Expert Member
Oct 20, 2015
272
219
Utaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.

Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni
 
Mimi nampenda sana mpenzi wangu wa zamani wa kuitwa Agness.

Jamani Agness, haya ngoja ninyamaze maana naweza tokwa machozi hapa.

Mtoto ana tako laini yulee.

Na ule ufupi wake.

Macho yake ya kulegea.

Weupe wake (sio mkorogo).

Jamani Agness naumia mie.

Ngoja nitoke, maana.

Agness, naanza kulia.

Hiii, hiii, hiii, ih ih ih.

Huuuu, huuuuu, hiiiii, hiiiii.

Na kwikwi juu,

Kwiu, kwiu, kwiu, kwiu, kwiu
 
Mimi nampenda sana mpenzi wangu wa zamani wa kutiwa Agness.

Jamani Agness, haya ngoja ninyamaze maana naweza tokwa machozi hapa.

Mtoto ana tako laini yulee.

Na ule ufupi wake.

Macho yake ya kulegea.

Weupe wake (sio mkorogo).

Jamani Agness naumia mie.

Ngoja nitoke, maana.

Agness, naanza kulia.

Hiii, hiii, hiii, ih ih ih.

Huuuu, huuuuu, hiiiii, hiiiii.

Na kwikwi juu,

Kwiu, kwiu, kwiu, kwiu, kwiu
kumpenda huko ikawaje ukamwacha mkuu
 
Thanks.

Duuuuude!

I wish she was my wife.

My love for her is unconditionally
usimchukie aliyekubadilikia ghafla, pengine ameacha kupretend, huo ndo uhalisia wake, maisha lazima yaendelee mkuu!
 
usimchukie aliyekubadilikia ghafla, pengine ameacha kupretend, huo ndo uhalisia wake, maisha lazima yaendelee mkuu!
Ukweli ni kwamba hakunibadilikia (ni tofauti kabisa na unavyodhania/unavyofikiria).

Labda kifupi nifunguke, masuala ya kuingiliwa mapenzi na Wazazi, Mama yake alikuwa poa, Mshua wake ndio kasheshe, mtoto ilifikia mpaka kutaka kujiua (kama nilivyosema sitofunguka, hapa nimekumegea kidogo).

Ila maisha yanasonga mbele
 
Ukweli ni kwamba hakunibadilikia (ni tofauti kabisa na unavyodhania/unavyofikiria).

Labda kifupi nifunguke, masuala ya kuingiliwa mapenzi na Wazazi, Mama yake alikuwa poa, Mshua wake ndio kasheshe, mtoto ilifikia mpaka kutaka kujiua (kama nilivyosema sitofunguka, hapa nimekumegea kidogo).

Ila maisha yanasonga mbele
hii sio kumbukumbu nzuri tuishie hapa ila pole sana kaka!
 
Isiishie kusema unampenda hapa na ukiwa nae nyumbani.
Muonyeshe kwmb kweli we uliumbwa kwa ajili yake mlinde kwa moyo wako wote usimkaripie kila mara km kakosa mkanye km unamfanyia utani.
usiishie hapo mfanye ajihisi dunia ni yake mfanye asiwe boring kbs.
Nenda mbali zaid ukifika hom ukiona hapajakaa sawa usimuulize we osha vyombo ogesha watt muulize na yy km anataka kuogeshwa.ukitoka kwa job mpelekee ht pipi choklet.
Mfanye amuogope mungu hilo ndo jambo muhimu.
wanawake wa nje wakikutongoza mwambie huyu ananitaka umpe na namba amtukane.
 
Back
Top Bottom