TANZANNIA
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 1,047
- 385
hujui kuwa ukimwaga asali,unavutia nyenyere?Utaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.
Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni