Jamani nampenda sana mke wangu Jennifer

Jamani nampenda sana mke wangu Jennifer

Nikipata wangu nitasema nampenda ila sasa sina mpenzi
 
Mbaya zaidi anasifu tako tu
Tumeshakuwa watumwa wa hii mambo, utashangaa mwanaume yuko kama.zoba kwa mke wake, harakaharaka unaweza dhani ni mapenzi kumbe ni utumwa wa tako, and women knows very much this weakness to her man shall use it for granted
 
Na siku ukinikuta niko namgegeda huyo jenny wako ulete mrejesho hapa.
 
Utaratibu wa wanaume katika hili jukwaa kuwasifia /kuonyesha jinsi tunawapenda wake zetu nadra kutokana na sisi wanaume kuwa na mipango ya kando mingi.

Leo nimeona niwaambie nanyi mjue kuwa nampenda sana mke wangu huyu hakika moyo wangu wote upo kwake.
Ahsanteni
Mimi Nampenda zaidi.
 
Wanaume wa dar mnazidi kutuangusha wenzenu wa dar, yaani ukitingozwa na mwanamke umpelekee namba ya simu ili amtukane??

Aina yako sijui uyo mwanamke kakupendea nini
Isiishie kusema unampenda hapa na ukiwa nae nyumbani.
Muonyeshe kwmb kweli we uliumbwa kwa ajili yake mlinde kwa moyo wako wote usimkaripie kila mara km kakosa mkanye km unamfanyia utani.
usiishie hapo mfanye ajihisi dunia ni yake mfanye asiwe boring kbs.
Nenda mbali zaid ukifika hom ukiona hapajakaa sawa usimuulize we osha vyombo ogesha watt muulize na yy km anataka kuogeshwa.ukitoka kwa job mpelekee ht pipi choklet.
Mfanye amuogope mungu hilo ndo jambo muhimu.
wanawake wa nje wakikutongoza mwambie huyu ananitaka umpe na namba amtukane.
 
Afadhali leo mmewakumbuka wake zenu. Hongereni. Mi ninaamini wapo wanaume wengi tu wanawapenda na kuwaheshimu wake zao. Wanaolalamika kuhusu wanawake wengi wao hata harufu ya ndoa hawaijui.
 
Khaaa cha ajabu nini tena hapo?! Ndio maana ukamuoa na kumweka ndani.........
 
Khaaa cha ajabu nini tena hapo?! Ndio maana ukamuoa na kumweka ndani.........
Wapo wanaowaweka ndani lakini hawawapendi. Unakuta tangu kamuweka ndani hakuna siku amemtamkia anampenda
 
Isiishie kusema unampenda hapa na ukiwa nae nyumbani.
Muonyeshe kwmb kweli we uliumbwa kwa ajili yake mlinde kwa moyo wako wote usimkaripie kila mara km kakosa mkanye km unamfanyia utani.
usiishie hapo mfanye ajihisi dunia ni yake mfanye asiwe boring kbs.
Nenda mbali zaid ukifika hom ukiona hapajakaa sawa usimuulize we osha vyombo ogesha watt muulize na yy km anataka kuogeshwa.ukitoka kwa job mpelekee ht pipi choklet.
Mfanye amuogope mungu hilo ndo jambo muhimu.
wanawake wa nje wakikutongoza mwambie huyu ananitaka umpe na namba amtukane.

Jamani mume wangu kama unapita hapa uanze kuyafanya haya kuanzia leo.
Usipoweza kuyafanya yote, tafadhali fanya hilo la mwisho. Yani wanawake wa nje wakikutongoza, uniambie, na namba zao unipe niwatukane
 
Mtupie na namba tuwajaribu kama wanawapenda kweli.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom