Jamani najihami sio mimi msinihukumu

Jamani najihami sio mimi msinihukumu

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
Hebu soma hii nimecheeeeeka......... narudia hayanihusu
Sifa za WAENDAO vyuoni.
  1. Matajiri na wenye akili MZUMBE
  2. Mahandsome na warembo IFM
  3. Masikini na washamba SUA
  4. Malaya na wasiojiweza kiakili CBE Dar
  5. Upeo mdogo na watoto wa Mama TUMAINI
  6. Waliokosa vyuo kabisa MAKUMIRA MWENGE
  7. Waliokosa nafasi na watoto wa wakulima UDOM
  8. Wasiojali future zao USTAWI, MUCOBS, SAUT, MWL NYERERE
  9. Wenye uwezo ila walifeli 4m 6 IAA, DTI
  10. Majigambo kibao na hamna kitu UDSM
  11. Wasiofahamu umuhimu wa elimu wanategemea chabo ndo wafaulu (Magogoni)
 
Hebu soma hii nimecheeeeeka......... narudia hayanihusu
Sifa za WAENDAO vyuoni.
  1. Matajiri na wenye akili MZUMBE
  2. Mahandsome na warembo IFM
  3. Masikini na washamba SUA
  4. Malaya na wasiojiweza kiakili CBE Dar
  5. Upeo mdogo na watoto wa Mama TUMAINI
  6. Waliokosa vyuo kabisa MAKUMIRA MWENGE
  7. Waliokosa nafasi na watoto wa wakulima UDOM
  8. Wasiojali future zao USTAWI, MUCOBS, SAUT, MWL NYERERE
  9. Wenye uwezo ila walifeli 4m 6 IAA, DTI
  10. Majigambo kibao na hamna kitu UDSM
  11. Wasiofahamu umuhimu wa elimu wanategemea chabo ndo wafaulu (Magogoni)

Sijaiona TIA mkuu.
 
Ina ukweli ndani hiyo, japo ni kichekesho. Mf. nawajua waliosoma mzumbe na hawakuingia darasani na vyeti wanavyo ila kwa sababu ya ubize kazini. Nawafahamu ambao wamesoma UDSM na hamna kitu kazi "nimemaliza pale udsm". Na wote kwa pamoja tumesikia habari za ifm, hahahahahaa
 
This sounds too childish....na sie wa chini ya muembe
Kitaa univasiti....digirii za Kitaolojia..
umetuhasabu wapi Msomi wewe mwenye akili za katoto kangu za shule ya vidudu..?
 
natamani kungekuwa na dislike pia humu plz wahusika hebu iwekeni na hiyo maana naona mada za kitoto zinazidi sasa
 
natamani kungekuwa na dislike pia humu plz wahusika hebu iwekeni na hiyo maana naona mada za kitoto zinazidi sasa

Za nini wewe kama hujapenda minya, swali la kizushi umesma shule gani kati ya hizi Mahandsome na warembo IFM
Malaya na wasiojiweza kiakili CBE Dar
 
umbavu zako toa kasha zako hapa, paleka huko kwenu
Hebu soma hii nimecheeeeeka......... narudia hayanihusu
Sifa za WAENDAO vyuoni.
  1. Matajiri na wenye akili MZUMBE
  2. Mahandsome na warembo IFM
  3. Masikini na washamba SUA
  4. Malaya na wasiojiweza kiakili CBE Dar
  5. Upeo mdogo na watoto wa Mama TUMAINI
  6. Waliokosa vyuo kabisa MAKUMIRA MWENGE
  7. Waliokosa nafasi na watoto wa wakulima UDOM
  8. Wasiojali future zao USTAWI, MUCOBS, SAUT, MWL NYERERE
  9. Wenye uwezo ila walifeli 4m 6 IAA, DTI
  10. Majigambo kibao na hamna kitu UDSM
  11. Wasiofahamu umuhimu wa elimu wanategemea chabo ndo wafaulu (Magogoni)
 
Hebu soma hii nimecheeeeeka......... narudia hayanihusu
Sifa za WAENDAO vyuoni.
  1. Matajiri na wenye akili MZUMBE
  2. Mahandsome na warembo IFM
  3. Masikini na washamba SUA
  4. Malaya na wasiojiweza kiakili CBE Dar
  5. Upeo mdogo na watoto wa Mama TUMAINI
  6. Waliokosa vyuo kabisa MAKUMIRA MWENGE
  7. Waliokosa nafasi na watoto wa wakulima UDOM
  8. Wasiojali future zao USTAWI, MUCOBS, SAUT, MWL NYERERE
  9. Wenye uwezo ila walifeli 4m 6 IAA, DTI
  10. Majigambo kibao na hamna kitu UDSM
  11. Wasiofahamu umuhimu wa elimu wanategemea chabo ndo wafaulu (Magogoni)

Nilijua tu,haya matokeo haya yatatusumbua sana
 
unajishaua nn wakati ulisoma magogoni
na nilikua nakuona!

Mpango mzima QT tu. mie na mzee mwenzangu mwenyekigoda wa enzi wa mnyama wa msimbazi tunasongesha mdogomdogo japo mwaka huu Ndalichako katufanyia fitna kwa kutuweka kwenye wale laki mbili na ushenzi, hatujakata tamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom