Sifa za waenda vyuo:.......

Status
Not open for further replies.

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Makini na washamba-SUA.

Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.

Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.

Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.

Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.

Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.

Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.

Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.

Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,

Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.

Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.

Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.

Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!

Je we uko wapi/umepita wapi?
 
Makini na washamba-SUA.

Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.

Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.

Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.

Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.

Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.

Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.

Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.

Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,

Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.

Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.

Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.

Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!

Je we uko wapi/umepita wapi?

Hapo kwenye RED nadhani inabidi ufanye tena utafiti wako cos last time nilipokuwa Morogoro, SUA unayoijua ww sio hii ya sasa - Hapo ume-judge kwa mazoea (Though MOSt of things you said are somehow true). Tafakari!
 
Hapo kwenye RED nadhani inabidi ufanye tena utafiti wako cos last time nilipokuwa Morogoro, SUA unayoijua ww sio hii ya sasa - Hapo ume-judge kwa mazoea (Though MOSt of things you said are somehow true). Tafakari!

uliowapiga vijembe ulikosaga huko wewe
 
Makini na washamba-SUA.

Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.

Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.

Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.

Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.

Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.

Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.

Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.

Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,

Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.

Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.

Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.

Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!

Je we uko wapi/umepita wapi?

Wanaouza K* na kuvuta bangi pale mabibo hostel ndo jamii yako inawakubali?? Jipange kijana

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hapo muccobs una uhakika au ndo umemaliza form six kijana? unajua course za pale wewe? hebu jaribu kwanza tuone hata hiyo nafasi kama utapata...uliza maofisi ya hapa mjini uambiwe...
 
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh! Utani mwingine unafanana na ukweli, ila all in all wote kwa pamoja tunakuja kupambana kwenye soko la ajira bila kuangalia huyu katoka chuo gani bali uwezo na ufanisi wa mtu
 
hapo muccobs una uhakika au ndo umemaliza form six kijana? unajua course za pale wewe? hebu jaribu kwanza tuone hata hiyo nafasi kama utapata...uliza maofisi ya hapa mjini uambiwe...

sawa kijana naona akili yako inawaza kuajiriwa tu..
Mawazo ya kimasikini hayo.
 
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh! Utani mwingine unafanana na ukweli, ila all in all wote kwa pamoja tunakuja kupambana kwenye soko la ajira bila kuangalia huyu katoka chuo gani bali uwezo na ufanisi wa mtu

aaaaaah aaaah mkuu kwani waliofeli form six huwa wanaenda wapi vile?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom