tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Makini na washamba-SUA.
Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.
Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.
Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.
Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.
Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.
Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.
Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.
Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,
Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.
Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.
Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.
Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!
Je we uko wapi/umepita wapi?
Matajiri na wenye akili + vilaza-MZUMBE.
Wasio na akili then matoz na masistadu -IFM.
Masharobaro na wazembe -CBE-Dar.
Upeo mdogo na watoto wa mama-TUMAINI.
Waliokosa vyuo kabisa -RUCO.
Waliokosa nafasi UDSM na wanaipenda -UDOM.
Wasiojali future zao- SAUT, USTAWI, MWL. NYERERE, MUCOBS, CBE DOM.
Wenye uwezo ila walifeli F6-IAA,
Wasiofahamu umuhimu wa elimu-MIPANGO, ZANZBAR, ST.JOHN.
Wenye Nidhamu -MORO MUSLIM.
Majigambo kibao hamna cha maana, kujipraud tu -SECUCO.
Watu wenye sifa mchanganyiko na jamii inawakubali UDSM, MUHAS, ARDHI etc!
Je we uko wapi/umepita wapi?