Jamani naenda kufumania

Nenda kawakamate live ili huyo prof akulipe then piga chini hvyo dem
 
kwahiyo asubiri wife amletee ukimwi na huku akiendelea kumfinance chuo na huku mwanaume akiendelea kumla...
una ushauri wa giza unaniudhi kinyama...au hii dunia ya sasa huioni? %&^%*&(%^*(%(%( sana....

OK, wewe mshauri ama amfungie mkewe ndani asitoke kabisa au aache shughuli anazofanya awe na mke wake saa zote. Hayo mawazo yako "ya mwanga" ni ya kitoto. Ama mtu anamwamini mke/mume wake - which means it doesn't warrant making investigative follow-ups to prove "analiwa au haliwi"- au hamwamini - which means hana sababu ya kuishi nae PERIOD!
 


Acha mambo ya kuanzisha thread za uwongo. Kwanza hujaoa maana uchungu wa mke huujui, Ingekua ni kweli hata nguvu ya kuanzisha thread usingekua nayo.Zamaani ungeshakodisha bodaboda hata kama ni umbali wa Moshi na musoma ukahakikishe.
 
r u straight.....?
 
mwache haraka atakuzeesha maana keshakukinai.penzi halilazimishwi.UAPATA ANAYEKUPENDA NA UAFURAHIA DUNIA.
 
Uwe na stamina za miguu tu, kujizua usianguke ukitaka kuzimia au kikimbia wkt kibao kishakugeukia. Kufumania kunataka moyo.
 

Muwache mwenzio yuko practice........sasa unafikiri masters zinapatika kirahisi ndugu........muwache binti wa watu afikishe malengo yake.......siku akijakua manager si wote mtafaidi mshahara. Tulia kijana acha papara.
 
Hili unalotaka kufanya la kufumania, "una kifua lakini"? Angalia isije ikakuletea madhara zaidi maana kufumania yataka moyo.

Na inakua mbaya zaidi unayemfumania akimgegeda mke wako unamkuta ana dushelele kubwa kuliko wewe....... na unaliona kwa macho yako kabisaa............
 
Nenda na tindkali au katafute mabaunsa wawatigo wote halaf peleka picha rahatupu then uje unipe taarifa nkazione. dedcation "bado nipo nipo ya mwanafa
 
Pole mkuu wangu but Confucius once said "you cant make a wh0re a housewife!". Bado nipo nipo sana.
 

yah hicho kitu kipo, ila uwe umefanya palepale ulipowafumania kwa kuwa hali anayokuwa nayo mtu akimfumania mke ni tofauti sana, ila ukifanya nje ya pale hapo huna defence. Hvo inakuwa kama vile lile kosa la kuua amelifanya mtu ambaye amechanganyikiwa, amekuwa chizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…