Poa, Mambo!!
dah imagine sijapewa kitu!! au sijakuelewa? isije ikawa......safi! umepewa nini leo?
dah imagine sijapewa kitu!! au sijakuelewa? isije ikawa......
hahahah sijaelewahahahaaaa!! umewaza mbali we mtoto!!
namaanisha nanii jamani! he!
hujanielewa?
hahahah sijaelewa
wati iz ze minin of zis???
nanii yupo lakini?
(usiniulize kwanini namuulizia!!... revolution begins like a drop of water sometimes!!)
.
Mbona unawahi sana? Dakika 45 tu?
Omba ushauri wa nini ufanye ili uchelewe chelewe kidogo.........
mh!ushauri wako n kiboko,kwa hyo unataka awe anaenda 1.5 hrs goli moja?utamuua kijana wa watu.