Jamani mwenye uzoefu na Nokia Lumia

Jamani mwenye uzoefu na Nokia Lumia

VPN USED2020OCTOBER28

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2011
Posts
1,505
Reaction score
676
Vipi hivi nokia lumia ubora wake upo kwenye nini???


Je betri yake inadumu??

Je net yake ipo vipi, je ipo slow ama faster??
 
Lumia ki ujumla ni simu nzuri na rahisi sana kutumia. Ila ina limitation kadhaa ukifananisha na Android ingawa Microsoft (Lumia zote zinatumia windows mobile OS) wanachukua hatua madhubuti kupunguza au kuondoa kabisa limitation ambazo zipo hivi sasa.

Mimi natumia LUMIA 720 ni almost mwaka sasa nimeridhika nayo na hasa kwa sasa wame upgarde kuja wp 8.1. Kuhusu Bettry itategemea matumizi yako na vilevile jinsi ya kuweka setting za app pamoja na mambo mengine.

Ushauri wangu kama utakuwa na uwezo nunua Lumia 920 au 925 kama budget hairuhusu basi LUMIA 720 ni chaguo zuri kwani Camera yake inatoa picha vizuri sana hata kwenye giza kabisa....

Kuhusu bei ina range between 420,000 mpaka 500,000 kutegemea wapi unanunua ila bei za Lumia 920 na 925 sina uhakika nazo. Wenye kujua watakupa majibu
 
Vipi hivi nokia lumia ubora wake upo kwenye nini???


Je betri yake inadumu??

Je net yake ipo vipi, je ipo slow ama faster??

Moja ya simu bora kabisa katika daraja lake (medium priced)
One of the best browsers; kwa internet utafurahi
Battery life inategemea matumizi, jambo ambalo ni la kawaida sana kwenye simu zenye apps nyingi
 
Vipi hivi nokia lumia ubora wake upo kwenye nini???


Je betri yake inadumu??

Je net yake ipo vipi, je ipo slow ama faster??

ni simu za kibiashara zaidi zisizo na longolongo

hazina vitu vingi ila hivyo vitu vilivyokuepo vinafanyika kwa ukamilifu

kuhusu internet simu zote mpya za siku hizi zina internet ya faster

kuhusu charge inategemea zipo zinazokaa sana na charge na zipo ambazo ni vimeo kwa lumia hizi hapa zinakaa sana na charge

1.lumia 1520
2.lumia 1320
3.lumia 720
4. lumia 625
 
Mkuu Chief,

Niko njia panda..... Nataka kuchukua LUMIA 1020 baadae mwaka huu ila Galaxy Note 3 inaniumiza kichwa. Natamani Note 3 ingekuwa ina run kwa WP.

Note 3 nimeipenda kwa kufanya manuva lakini nikifikiria ni Android narudi nyuma. Nini ushari wako??
 
ni simu za kibiashara zaidi zisizo na longolongo

hazina vitu vingi ila hivyo vitu vilivyokuepo vinafanyika kwa ukamilifu

kuhusu internet simu zote mpya za siku hizi zina internet ya faster

kuhusu charge inategemea zipo zinazokaa sana na charge na zipo ambazo ni vimeo kwa lumia hizi hapa zinakaa sana na charge

1.lumia 1520
2.lumia 1320
3.lumia 720
4. lumia 625

Hiyo LUMIA 1520 ni mtambo wa kuotea mbali......
 
Kioo wajamen hakipati crack.. Nimeshaangusha sakafun karibia mara tano sasa , bt kila nikiokota, no crack kabisaa, instead, cover la simu tu ndo linachomoka
 
kwani lumia 930 sio flagship??

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

kwa sasa tutaiita flagship sababu ndio ina specs kubwa na umbo linalokubalika na wote ila series wise ilitakiwa isiwe flagship.

930 ipo series ya 9xx ambayo ndio series ya flagship kama vile lumia 900 na 920 lakini mwaka jana mda kama huu ilitoka series kubwa zaid yaani 10xx series tukaiona lumia 1020 hivyo ki calendar by now kulitakiwa kuwe na flagship ya series hio.

pia wakati nokia wanazindua 1520 variant yake ya mtandao wa verizon marekan yaani lumia icon ilitoka. Ukiangalia lumia icon na 930 kila kitu kinafanana. Hivyo haiipi nguvu hii simu kuwa flagship.

kitu cha mwisho tunaongelea nokia hapa. Huwa akitoa flagship lazima itingishe dunia kwa innovation zisizoexit, nokia hajafanya hivyo since lumia 920, lumia 930 ina specs kubwa ila haina tofaut na sim za android specs kubwa bila uvumbuzi wa maana
 
naomba uielezee mkuu chief

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk

mpaka sasa hakuna information za kutosha ni huyo evleaks tu anatupa tupa kila wakati hii simu inategemewa kuwa hivi
1. kioo cha 2k ukubwa wa 5.2 inch
2. internal 32gb na ram 3gb
3. processor ya snapdragon 805 na adreno 4xx
4. battery ya 3400mah
5. kuna rumors ile technolojia ya kuchaji simu kwa jua kupitia kioo cha simu imefaa
6. kuna rumors itakuwa na 3d touch

hivyo vya juu unavijua labda nielezee hii ya solar na 3d touch

solar charging
ni muda mrefu sasa nokia anafanya research kuhusu simu ambayo utakua huichaji wewe bali inajichaji, namaanisha simu ambayo hata port ya kuchajia itakua haina na kufanikisha hilo moja ya karata yao wameitupa kwenye simu zinazojichaji na jua. na wao wakaona kuwa kwa kueka layer kwenye kioo cha simu wanaweza kufanikiwa hivyo layer ya solar charging ikawekwa lakini walishindwa kufanikisha kwenye research zao, mwaka jana mwishoni kukawa na rumors hii simu ya solar inakuja ila hatukuion na sasa hivi rumors zinarudi tena kuwa inakuja.

3d touch
hii nayo kama technology ya pureview nasikia miaka nenda miaka rudi ipo kwenye maabara za nokia lakini finally nayo itatoka. kuna baadhi ya patents nokia wamepewa kuhusu hii tech hivyo kidogo tukapata idea itakuwaje. in short utakuwa unaoperate simu bila kuigusa kama vile s4 lakini hii ya nokia itakuwa tofauti.

chukulia mfano huu una simu yako ya lumia ina tiles, ukipeleka kidole juu ya tiles kabla hujaigusa tiles itatikisika au itajizoom kidogo au itatoa ishara yoyote kuonyesha kuwa hii ndio tile unayo deal nayo. then kama tena unaiclick ile tile itachawanyika na kutoa menu kama ni tile ya video zitasambaa kwenye kioo then utachagua tena.

na ili kuifanya isiwe gimmick kama ya s4 kuna rumors pia kuwa kuna sdk yake kwenye wp8.1 itakayowafanya madeveloper waweze kuitumia ina maana utaweza fanya kwenye fb, twitter na apps nyengine.

mwisho zote hizo ni rumors zinaweza zitokee ama zisitokee muda utatuambia
 
ni simu za kibiashara zaidi zisizo na longolongo

1.lumia 1520
2.lumia 1320
3.lumia 720
4. lumia 625

Naomba unichanganulie bei ya hizo simu mkuu. Kwa hapa bongo zinapatikana kwa bei gani?
 
Lumia ki ujumla ni simu nzuri na rahisi sana kutumia. Ila ina limitation kadhaa ukifananisha na Android ingawa Microsoft (Lumia zote zinatumia windows mobile OS) wanachukua hatua madhubuti kupunguza au kuondoa kabisa limitation ambazo zipo hivi sasa.

Mimi natumia LUMIA 720 ni almost mwaka sasa nimeridhika nayo na hasa kwa sasa wame upgarde kuja wp 8.1. Kuhusu Bettry itategemea matumizi yako na vilevile jinsi ya kuweka setting za app pamoja na mambo mengine.

Ushauri wangu kama utakuwa na uwezo nunua Lumia 920 au 925 kama budget hairuhusu basi LUMIA 720 ni chaguo zuri kwani Camera yake inatoa picha vizuri sana hata kwenye giza kabisa....

Kuhusu bei ina range between 420,000 mpaka 500,000 kutegemea wapi unanunua ila bei za Lumia 920 na 925 sina uhakika nazo. Wenye kujua watakupa majibu

asante sana kiongozi
 
Naomba unichanganulie bei ya hizo simu mkuu. Kwa hapa bongo zinapatikana kwa bei gani?

1520-around 800,000
1320- around 500,000
720 na 625 arond 400,000

zinaweza patikana bei rahisi chini ya hapo nime estimate tu
 
Nokia lumia inakaa na chaji sana. Natumia 1320, na inakaa na chaji 24 hrs. Wakati nikitumia galaxy note 2 chaji ilikuwa haimalizi two hours. Kuna uzi hapa mtu kadadavua betri za simu na ukaaji chaji akaelezea kuwa 1520 ndio the best
 
mpaka sasa hakuna information za kutosha ni huyo evleaks tu anatupa tupa kila wakati hii simu inategemewa kuwa hivi
1. kioo cha 2k ukubwa wa 5.2 inch
2. internal 32gb na ram 3gb
3. processor ya snapdragon 805 na adreno 4xx
4. battery ya 3400mah
5. kuna rumors ile technolojia ya kuchaji simu kwa jua kupitia kioo cha simu imefaa
6. kuna rumors itakuwa na 3d touch

hivyo vya juu unavijua labda nielezee hii ya solar na 3d touch

solar charging
ni muda mrefu sasa nokia anafanya research kuhusu simu ambayo utakua huichaji wewe bali inajichaji, namaanisha simu ambayo hata port ya kuchajia itakua haina na kufanikisha hilo moja ya karata yao wameitupa kwenye simu zinazojichaji na jua. na wao wakaona kuwa kwa kueka layer kwenye kioo cha simu wanaweza kufanikiwa hivyo layer ya solar charging ikawekwa lakini walishindwa kufanikisha kwenye research zao, mwaka jana mwishoni kukawa na rumors hii simu ya solar inakuja ila hatukuion na sasa hivi rumors zinarudi tena kuwa inakuja.

3d touch
hii nayo kama technology ya pureview nasikia miaka nenda miaka rudi ipo kwenye maabara za nokia lakini finally nayo itatoka. kuna baadhi ya patents nokia wamepewa kuhusu hii tech hivyo kidogo tukapata idea itakuwaje. in short utakuwa unaoperate simu bila kuigusa kama vile s4 lakini hii ya nokia itakuwa tofauti.

chukulia mfano huu una simu yako ya lumia ina tiles, ukipeleka kidole juu ya tiles kabla hujaigusa tiles itatikisika au itajizoom kidogo au itatoa ishara yoyote kuonyesha kuwa hii ndio tile unayo deal nayo. then kama tena unaiclick ile tile itachawanyika na kutoa menu kama ni tile ya video zitasambaa kwenye kioo then utachagua tena.

na ili kuifanya isiwe gimmick kama ya s4 kuna rumors pia kuwa kuna sdk yake kwenye wp8.1 itakayowafanya madeveloper waweze kuitumia ina maana utaweza fanya kwenye fb, twitter na apps nyengine.

mwisho zote hizo ni rumors zinaweza zitokee ama zisitokee muda utatuambia

Salute mkuu

930 ndo dream phone kwa sasa
 
Back
Top Bottom