kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
mkuu nilienda clinic ya praise sanitarian nikapewa dawa ya maji ya kupaka pamoja na dawa ya kuchemsha inaitwa ut_pls
Hii clinic ipo wapi? na bei zao zikoje?
mkuu nilienda clinic ya praise sanitarian nikapewa dawa ya maji ya kupaka pamoja na dawa ya kuchemsha inaitwa ut_pls
Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.Nidawa gani ya Kienyeji ya Fangasi uliotumia Sis???
Tusaidie nasi wenye tatizo kama lako plizzz.
hii clinic ipo wapi? Na bei zao zikoje?