Jamani msaada, ninakufa

Nidawa gani ya Kienyeji ya Fangasi uliotumia Sis???
Tusaidie nasi wenye tatizo kama lako plizzz.
Nunuwa kitunguu swaumu kizima, menya punje zote halafu zitwange kisha weka kijiko kimoja cha maji ya uvuguvugu ili vilainike, baada ya hapo vimeze huo mchanganyiko. hapo Minyoo na Fungas itakuwa ni Historia kwako.

Tahadhari: ni vyema unapotumia dawa hii ukawa upo nyumba kwani huo mchanganyiko ukiingia tumboni huwa tumbo linawaka moto unaweza kupata haja kwa baadhi ya watu.ila baada ya dakika 15 hali yako ya kawaida itarudi.

Kwa hisani ya BAOSITA.
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wanajamvi,

kiukweli mimi ninashida nilikua ninaumwa fangasi kwa muda mrefu sana kwenye sehemu za siri ninachomshukur mungu ni kuwa nimepona baada yakutumia madawa mengi sana ikiwemo tiba za asili baada ya kuona hizi za kizungu hazinisaidii tena, ila tatizo ni kuwa toka jana kuna uchafu unanitoka huku sehemu za siri yaani unakuta chupi imechafuka kama rangi ya brown unaambatana na ute kama wa yai ila ni mzito kuliko ule wa yai (mucus) na huo uchafu ukishatoka kama ni asubuhi haut0ki tena na nikijicheki sehemu za siri sioni kama kuna uchafu wowote kwa nje, naombeni msaada jamani linaweza kuwa ni tatizo gani jamani nimeteseka sana na haya magonjwa yasiyoisha,ninatanguliza shukrani zangu za dhati

Acha kutombana bila kinga utakufa kweli oooooh!!!
 
acha kutombana bila kinga utakufa kweli oooooh!!!



mkuu usione wote ukadhani wanatombana hovyo, frankly speeking, mimi naweza kuwa kati ya mabinti bikira waliobakia katika dunia hii ya dhambi, ila nashindwa kuelewa kwanini magonjwa yananiandama sana huku sehemu za siri mkuu
 
Dada, Pole, Mi nakushauri uende hospitali ukapate vipimo sahihi ikiwezekana uende hospitali 3 tofauti kwa ajili ya vipimo tu, kisha utarudi hapa ukiwa na jina la ugonjwa uliogundulika unao na wanajamvii watakushauri aina ya dawa au namna nyingine ya kufanya. Tafadhari zingatia ushauri huu.
 
Ulishaenda hospitali ukaongea na mtaalam? Huo ute unatoka kila siku au mida fulani kwenye mwezi? Cervical mucus kutegemeana na cycle yako. I'm not 100% sure lakini nafikiri ukikaribia period ute unakuwa mzito. Hiyo ya rangi ya brown inatokea kabla or baada ya period? Inawezekana ni rangi ya damu tu iliyobakia mwilini baada ya period. Kwa kweli haujatoa information nyingi, ni ngumu kudiagnose sababu 1) sisi si wataalam 2) hatuna details nyingi. Ningekushauri umuone daktari wa akina mama.


Mkuu kiukweli hata nikiwa bafuni ninaoga tu kawaida na kama ni k yangu ninaisafisha tu vizuri sifanyi douching wala cha nini labda baadhi ya chupi nizibadilishe, ila pia tatizo hilo ya kutokwa na huo ute kama wa yai ila ni mzito zaidi ya ule wa yai hapo pia nashindwa kuelewa nini shida japokuwa unatoka siku moja moja sana
 
dada, pole, mi nakushauri uende hospitali ukapate vipimo sahihi ikiwezekana uende hospitali 3 tofauti kwa ajili ya vipimo tu, kisha utarudi hapa ukiwa na jina la ugonjwa uliogundulika unao na wanajamvii watakushauri aina ya dawa au namna nyingine ya kufanya. Tafadhari zingatia ushauri huu.


mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako nitajitahid sana kufanya hivyo then nitaleta matokeo hapa kwenu wanajamvi.
 
ulishaenda hospitali ukaongea na mtaalam? Huo ute unatoka kila siku au mida fulani kwenye mwezi? Cervical mucus kutegemeana na cycle yako. I'm not 100% sure lakini nafikiri ukikaribia period ute unakuwa mzito. Hiyo ya rangi ya brown inatokea kabla or baada ya period? Inawezekana ni rangi ya damu tu iliyobakia mwilini baada ya period. Kwa kweli haujatoa information nyingi, ni ngumu kudiagnose sababu 1) sisi si wataalam 2) hatuna details nyingi. Ningekushauri umuone daktari wa akina mama.


kiukweli huo ute huwa unatoka mara chache chache sana kwa wiki naweza uona mara moja au mara mbili co kila cku, na kuhusu hyo rangi ya brown ni kuwa unatoka mara nyingi unaweza kutoka baada ya period lakini unaweza pia kutoka mara moja moja sana na ni kuwa labda naweza kuwa nimemaliza period imeshia hata wiki nzima unashangaa umetoka japokuwa ni kidogo co mwingi na unaweza kuuona asubuhi tu, kesho yake hivyo hivyo asubuhi tu ndo unashangaa umetoka kdogo tu unakuta chupi imechafuka kdogo nashindwa kuelewa tatizo ni nini wandugu
 
Ok , kwa mtazamo wangu sioni Kama kuna tatizo hapa. Kama hauwashwi, haitoi harufu mbaya ( fishy smell), na haiumi sidhani Kama una ugonjwa. Ujue kuna function ya miili yetu ambayo ni ya kawaida ambayo jamii yetu inasisitiza kuwa ni ugonjwa, uchafu, au kitu cha kuonea aibu. Kama una discharge ya brown siku kadhaa baada ya period hii itakuwa ni damu iliyobaki mwilini. Hata damu ambayo sio fresh/ iliyokauka inakuwa ya brown. Usihofu. the slimy, clear discharge is just mucus that lines your cervix during your cycle. Inaweza ikawa nzito na rangi ya maziwa pia.



kiukweli huo ute huwa unatoka mara chache chache sana kwa wiki naweza uona mara moja au mara mbili co kila cku, na kuhusu hyo rangi ya brown ni kuwa unatoka mara nyingi unaweza kutoka baada ya period lakini unaweza pia kutoka mara moja moja sana na ni kuwa labda naweza kuwa nimemaliza period imeshia hata wiki nzima unashangaa umetoka japokuwa ni kidogo co mwingi na unaweza kuuona asubuhi tu, kesho yake hivyo hivyo asubuhi tu ndo unashangaa umetoka kdogo tu unakuta chupi imechafuka kdogo nashindwa kuelewa tatizo ni nini wandugu
 
ok , kwa mtazamo wangu sioni kama kuna tatizo hapa. Kama hauwashwi, haitoi harufu mbaya ( fishy smell), na haiumi sidhani kama una ugonjwa. Ujue kuna function ya miili yetu ambayo ni ya kawaida ambayo jamii yetu inasisitiza kuwa ni ugonjwa, uchafu, au kitu cha kuonea aibu. Kama una discharge ya brown siku kadhaa baada ya period hii itakuwa ni damu iliyobaki mwilini. Hata damu ambayo sio fresh/ iliyokauka inakuwa ya brown. Usihofu. The slimy, clear discharge is just mucus that lines your cervix during your cycle. Inaweza ikawa nzito na rangi ya maziwa pia.



mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako nimefarijika kwa kiasi kikubwa sana, maana uchafu huo hauna harufu yoyotee, siwashwi wala hakuna shida yoyote nyingine, na pia napenda kuuliza kama umeumwa fangas kwa muda mrefu zinaweza kuleta effect yoyote kwenye mfumo wa uzazi?
 
Ukisema fungus unamaanisha yeast infection? Kama unamaanisha yeast infection usihofu haiwezi kuharibu mfumo wa uzazi, hata uiugua muda mrefu. Magonjwa yanayoharibu mfumo wa uzazi mara nyingi ni magonjwa ya zinaa. Kama una mpango wa kuzaa itabidi upate tiba ya yeast infection kama unao, sababu inaweza ikasababisha njia yako ya uzazi kuwa "kali", nikimaanisha inawezekana since acidity ya uke wako haiko kwenye balance yake ya kawaida, sperm zinaweza kufa/kuharibika kabla ya kufika kwenye yai lako.








mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako nimefarijika kwa kiasi kikubwa sana, maana uchafu huo hauna harufu yoyotee, siwashwi wala hakuna shida yoyote nyingine, na pia napenda kuuliza kama umeumwa fangas kwa muda mrefu zinaweza kuleta effect yoyote kwenye mfumo wa uzazi?
 
mkuu nashukuru sana kwa ushauri wako nimefarijika kwa kiasi kikubwa sana, maana uchafu huo hauna harufu yoyotee, siwashwi wala hakuna shida yoyote nyingine, na pia napenda kuuliza kama umeumwa fangas kwa muda mrefu zinaweza kuleta effect yoyote kwenye mfumo wa uzazi?
Je huo ute unafanana na shakhwa? kama ni hivyo ukilala jifungie chumbani na funguo, usikute kuna murume anakupiga bao ukiwa usingizini.
 
Acha kutombana bila kinga utakufa kweli oooooh!!!
mkuu humdhalilishi m2 bali inadhohirisha akili yaki ilivyo na unaidhalilisha nafsi yako!
Pia kwani ungekaa kimya ungekufa?
Imagine wewe unaumwa af unapewa lugha za kejeli hivi! Hatukujui bali Mungu anakujua zaid yetu.
 
mkuu humdhalilishi m2 bali inadhohirisha akili yaki ilivyo na unaidhalilisha nafsi yako!
Pia kwani ungekaa kimya ungekufa?
Imagine wewe unaumwa af unapewa lugha za kejeli hivi! Hatukujui bali mungu anakujua zaid yetu.


mkuu nashukuru kwa kumueleza ukweli maana inafika wakati mtu unashida unaogopa hata kuleta shida yako hapa maana kuna watu wanajiona wao kwao maradhi/matatizo hayatakaa yawafike, ila atambue mungu anamuona na malipo ni hapa hapa. Mungu ampe hekima na autumie ulimi wake kwa hekima na moyo wake kwa kuwaza yaliyo mema
 
ukisema fungus unamaanisha yeast infection? Kama unamaanisha yeast infection usihofu haiwezi kuharibu mfumo wa uzazi, hata uiugua muda mrefu. Magonjwa yanayoharibu mfumo wa uzazi mara nyingi ni magonjwa ya zinaa. Kama una mpango wa kuzaa itabidi upate tiba ya yeast infection kama unao, sababu inaweza ikasababisha njia yako ya uzazi kuwa "kali", nikimaanisha inawezekana since acidity ya uke wako haiko kwenye balance yake ya kawaida, sperm zinaweza kufa/kuharibika kabla ya kufika kwenye yai lako.





nashukuru sana mkuu kwa ushauri wako na mimi kama mimi nina imani cna ugonjwa wa zinaa hata nilipoenda hospital kwa mara ya kwanza dr. Aliniambia sina ugonjwa wa zinaa bali ni fungus peke yake, nashukuru sana kwa kunitia moyo nafarijika sana na jumbe zako, mungu akubariki sna na akuzidishie hekima maradufu, kila la heri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom