Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,976
Nunuwa kitunguu swaumu kizima, menya punje zote halafu zitwange kisha weka kijiko kimoja cha maji ya uvuguvugu ili vilainike, baada ya hapo vimeze huo mchanganyiko. hapo Minyoo na Fungas itakuwa ni Historia kwako.Nidawa gani ya Kienyeji ya Fangasi uliotumia Sis???
Tusaidie nasi wenye tatizo kama lako plizzz.
Tahadhari: ni vyema unapotumia dawa hii ukawa upo nyumba kwani huo mchanganyiko ukiingia tumboni huwa tumbo linawaka moto unaweza kupata haja kwa baadhi ya watu.ila baada ya dakika 15 hali yako ya kawaida itarudi.
Kwa hisani ya BAOSITA.
Last edited by a moderator: