jamani msaada. Nakufa kwa sababu ya meseji hii.

jamani msaada. Nakufa kwa sababu ya meseji hii.

Kama meseji ya kutongozwa unapata presha siku ukimuona hata na rafiki si utaenda kujitundika...
Watu wengine hata hamko kwenye ndoa presha nyingi, unapotezea unasakua kwingine.. Watu milioni ngapi mkocompatible, siku zote yupo someone who is better, tusikae na kujidanganya, sio movies hizi, this is reality, ukihold onto one hutaki kulet go unakua -----, afu unaiga ya tv.. zamani ukizingua anaenda kwingine, hakuna lawama... mapenzi mapya hua matamu sana
 
Shukuru unegundua mapema

Sasa kaa nae mpe hongera kwa mistari anayoshusha, yaani mpe hongera kwa kumuonyesha hiyo msg aliyotuma

Kisha kaa kimya wala usiruhusu muijadili

Ila tafuta plan B mapemaaaaaaa, hapo wakianza penzi laa( na penzi jipya huwa tamu) utatemwa
 
Hahaha,umenkumbusha differences btn inbox ya msichana na mvulana,...
Js get over it,kutongozwa hakuishi,labda uanze kuchuja
 
Huwa sisomi wala kupokea Simu za mke wangu hata siku moja! Why should I? Sihitaji kujebgeana artificial uaminifu......
 
Institute of mapenzi..kuepuka mambo mengine msishikage simu za wenzenu
 
jamani baada ya kuwa nae kwa muda mrefu nimejiroga kuchungulia kwenye inbox ya simu ya mpenzi wangu na kukuta ujumbe huu.
Nimeutafakri na na kujikuta sina hata uwezo wa kuandika meseji ya aina hiyooo. Uuuwiiiii kumbe mapenzi ujanja.. Nalia miyee.
"seriously I real like u, and for sure I'm real interested to b with u.
I see u as the source of my happiness...
Plz plz do not turn this down.
I can see the hope in u and
I promise to make u happy for all the time u will be with me. u will never regret bng with me.
I real need ur presence.
xxxxx"
sijui nifanye nini???

If you delete that xxxxx and put 'JESUS' instead inaleta maana nyingine kabisa 😉 hahahaa

Umeuliza ufanyeje???!!

Ipotezee kama hujaiona

Si huduma unapata kama kawa? 😉
 
jamani baada ya kuwa nae kwa muda mrefu nimejiroga kuchungulia kwenye inbox ya simu ya mpenzi wangu na kukuta ujumbe huu.
Nimeutafakri na na kujikuta sina hata uwezo wa kuandika meseji ya aina hiyooo. Uuuwiiiii kumbe mapenzi ujanja.. Nalia miyee.
"seriously I real like u, and for sure I'm real interested to b with u.
I see u as the source of my happiness...
Plz plz do not turn this down.
I can see the hope in u and
I promise to make u happy for all the time u will be with me. u will never regret bng with me.
I real need ur presence.
xxxxx"
sijui nifanye nini???
Usiwena wasiwasi inaelekea ndio anajisogeza kwa umpendae. Cha muhimu umepata tution basi wewe ongeza zaidi ya hayo. Vitendo vina nafasi yake lakini maneno mh kama hayo ndugu yangu ya nafasi kubwa tu na ndio maana yamekutia hofu!
 
Jiangalie tu kwani hata yeye hakukuta bikra.

jamani baada ya kuwa nae kwa muda mrefu nimejiroga kuchungulia kwenye inbox ya simu ya mpenzi wangu na kukuta ujumbe huu.
Nimeutafakri na na kujikuta sina hata uwezo wa kuandika meseji ya aina hiyooo. Uuuwiiiii kumbe mapenzi ujanja.. Nalia miyee.
"seriously I real like u, and for sure I'm real interested to b with u.
I see u as the source of my happiness...
Plz plz do not turn this down.
I can see the hope in u and
I promise to make u happy for all the time u will be with me. u will never regret bng with me.
I real need ur presence.
xxxxx"
sijui nifanye nini???
 
Wengine wakiona hivyo wanaenda kwa "Plan B" zao..watu wana mambo duniani, ati you're my plan B..
 
Ulienda kwenye Inbox zake kutafuta nini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mbona Presha nyingine mnapenda kujitakia jmani
 
Huwa sisomi wala kupokea Simu za mke wangu hata siku moja! Why should I? Sihitaji kujebgeana artificial uaminifu......
Wewe unafanya vyema, kwa nini ujitakie matatizo...??
 
vp dem wako akajib nn?? Coz umekuta inbox yaweza kuwa jamaaa anamtaka so ndo anaingilia gia namba tano hiyooooooo by the way ucmuulze kitu endelea kuchunguliaga inbox yake huenda ukajua meng zaid
 
kama unajijua mtu wa kutokwa na mapovu usipende kuchungulia inbox ya mwenza wako. Hayo mambo tuachie wenye upako wetu. hata ukute sms gani unacheka alafu hata humuulizi msichana wako. Ndio kwanza unazidisha speed ya mikuno.
 
Mie nikafikiri message ilitumwa na sumu ndani yake hivyo inakuua,
acha mtazamo hasi kwenye maisha yako utaishi kwa raha na amani siku zote.
 
Ulikuwa unatafuta nini kwenye simu yake?
Watu mnaziita pressure kwa nguvu hivyo!
 
Back
Top Bottom