Jamani mpenzi wangu uume hausimami

Jamani mpenzi wangu uume hausimami

Kwani wale mabazazi wa PM bado hawajakuona wakushone utulie binti mzuri?
 
Kwa huu mwandiko wewe Hauwez kuna na mume sema mvulana wako😂
 
Mwanaume kutumia au kujinasibisha na jinsia ya KE inaonyesha anataka :-

1.kuolewa
2.kupigwa Mkunyubenga
3.Kupigwa mswaki
4.kupigwa dodoki
5.kupigwa dushee

6.Kupigwa mtalimbo!.

Sijajua wewe MZURI SANA kati ya hayo unataka lipi!
 
nikasema ngoja nimtunuku kwa kumhurumia mpenzi wangu.
Hivi kwann nyie wanawake mkitupa haki yetu mnapenda kusema mmetuonea huruma.
Hii kitu sijawahi elewaga, kwaio sisi kila siku mnatuonea huruma sio?? unakuta demu anakula kwako, hela ya vocha unampa, matatizo ya hapa na pale unamsaidia, alaf akikupa haki yako anasema amekuona huruma, kivipi?
Demi Donatila naombeni mnisaidie aisee, kama hamna majibu waiteni wenzenu.
 
Mwambie aache kubet, alafu baada ya mwezi jaribuni tena utakuja kunishukuru
Ikigoma na hapo mwambie atafute kajiti aifungie kwa kamba
 
Jamani wanawake mkuje Mara moja.

Niko na mahusiano na Mwanaume mmoja mwezi wa sita now ila hatukuwahi kufanya chochote.

Wiki iliyoisha baada ya kumpa ahadi nyingi mpenzi wangu ,nikasema ngoja nimtunuku kwa kumhurumia mpenzi wangu.

Jamani kilichonikuta moyo wangu umeumia sana mambo ni mengi, kufupisha story tulipofika room jamani maskini mkaka wa watu ameshidwa babu kusimama.

Nimetumia mbinu zote imeshindikana.
Nimeshindwa kuandika mengi .

Ila nimejiuliza inakuaje Mwanaume una kila aina ya ugentlemen ila babu ndo asimami jamani

Kwa wanaume inatokea ,,,, nilijua mnaishi nyumba moja iyo ya mara moja moja inatokea mi kuna kama mademu wawili ishatokea
 
Mwambie aisimamishe kwa msaada wa boi la kusongea ugali.Wanaume wa Dar hawawezi kuelewa nina maana boi ipi.
 
Jamani kilichonikuta moyo wangu umeumia sana mambo ni mengi, kufupisha story tulipofika room jamani maskini mkaka wa watu ameshidwa babu kusimama.

Nimetumia mbinu zote imeshindikana.
Nimeshindwa kuandika mengi .

Ila nimejiuliza inakuaje Mwanaume una kila aina ya ugentlemen ila babu ndo asimami jamani
Hapo kwenye mbinu zote hapo..... unaweza kuzifafanua ili shetani ajue kama umeshakuwa mkubwa??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom