Jamani mpenzi wangu uume hausimami

Jamani mpenzi wangu uume hausimami

Hivi kwann nyie wanawake mkitupa haki yetu mnapenda kusema mmetuonea huruma.
Hii kitu sijawahi elewaga, kwaio sisi kila siku mnatuonea huruma sio?? unakuta demu anakula kwako, hela ya vocha unampa, matatizo ya hapa na pale unamsaidia, alaf akikupa haki yako anasema amekuona huruma, kivipi?
Demi Donatila naombeni mnisaidie aisee, kama hamna majibu waiteni wenzenu.
😅😅
Ni kwasababu tangu zamani iliaminika kwamba kile kiungo chetu ni cha thamani, kuamua kumpa mtu means umemthamini sana ndo maana huwa tunaona kama vile ni zawadi tunatoa.

Ingawa siku hizi haichukuliwi hivyo tena naona. Watu wanagawa tuuuuu
 
😅😅
Ni kwasababu tangu zamani iliaminika kwamba kile kiungo chetu ni cha thamani, kuamua kumpa mtu means unemthamini sana ndo maana huwa tunaona kama vile ni zawadi tunatoa.

Ingawa siku hizi haichukuliwi hivyo tena naona. Watu wanagawa tuuuuu
Malizia kabisa kwa kusema wanauza tuuuu.... Kugawa unamaanisha hela haihusiki?
 
Jamani wanawake mkuje Mara moja.

Niko na mahusiano na Mwanaume mmoja mwezi wa sita now ila hatukuwahi kufanya chochote.

Wiki iliyoisha baada ya kumpa ahadi nyingi mpenzi wangu ,nikasema ngoja nimtunuku kwa kumhurumia mpenzi wangu.

Jamani kilichonikuta moyo wangu umeumia sana mambo ni mengi, kufupisha story tulipofika room jamani maskini mkaka wa watu ameshidwa babu kusimama.

Nimetumia mbinu zote imeshindikana.
Nimeshindwa kuandika mengi .

Ila nimejiuliza inakuaje Mwanaume una kila aina ya ugentlemen ila babu ndo asimami jamani
Huenda hali ya hewa ya feri ilimkonga kwenyewe utosi wa pua Saikolojia ya mahaba ikazimia na network ikakata kabisa akaanza kutafakari dah!!
Mrembo mkali namna hii na amenisumbua muda mrefu hali ndio hii!!!!
 
Hahahaha!. Nimecheka sana Mkuu.

Waambie kabisa waungwana, siyo tambi za kula. Ni tambi za kibatari.

Unaifinyanga huku unalazimisha iingie kwenye mdomo wa kibatari.

JF ni tamu sana haki ya Mungu.

Eeh bhana tambi za kibatarii mwamba apate utamu na yeye
 
Ni kwasababu tangu zamani iliaminika kwamba kile kiungo chetu ni cha thamani, kuamua kumpa mtu means unemthamini sana ndo maana huwa tunaona kama vile ni zawadi tunatoa.
Hapa umenena mama, hii kweli.
Ingawa siku hizi haichukuliwi hivyo tena naona. Watu wanagawa tuuuuu
Product yeyote Inaongezeka thamani endapo supply ni ndogo na demand ni kubwa, na kinashuka thamani endapo supply ni kubwa na demand ni ndogo.

Lakini kwa miaka ya hivi karibuni tusifichane, thamani ya hicho kiungo imepungua sana, kwaio swala la kusema mnatuonea huruma ni kwamba mnajifariji tuu.

Its like You're trying to justify that there is still value, but in reality, the real value is gone.
What else can you do then?
What else is left but to abandon even the hope of truth and content yourselves with false preconceived stereotypes that the 😼 still has value.
 
Mi nashangaaga Sana eti mwanamke anasema nkamuhurumia ,Kwan unataka kuniambia wewe hauna huitaji ,tena mwamke mwingine unakuta anakutongaza anakumbeleza anaweza kukupa hata hela,yaan hayo maneno ya kuhurumia maneno ya kujifichia tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom