masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,384
- 19,307
Na vitimoto na nini kuanzia jumatatu jamani mpaka jumapili mnapata wap ela jamani....mbona michakato tunafanya sawa wenzetu mnatoa wapi ela nyingi.
Tupeane hiyo michongo
Tupeane hiyo michongo