Jamani mnaokunywa kila siku ela mnaipata wapi

Jamani mnaokunywa kila siku ela mnaipata wapi

Na vitimoto na nini kuanzia jumatatu jamani mpaka jumapili mnapata wap ela jamani....mbona michakato tunafanya sawa wenzetu mnatoa wapi ela nyingi.
Tupeane hiyo michongo
Hahaaa! Inaonekana kuna jirani yako anakunywa sana
 
Na vitimoto na nini kuanzia jumatatu jamani mpaka jumapili mnapata wap ela jamani....mbona michakato tunafanya sawa wenzetu mnatoa wapi ela nyingi.
Tupeane hiyo michongo
Punguza wivu masai dada ina maana shemeji yetu hakutoi out?
 
Na vitimoto na nini kuanzia jumatatu jamani mpaka jumapili mnapata wap ela jamani....mbona michakato tunafanya sawa wenzetu mnatoa wapi ela nyingi.
Tupeane hiyo michongo
Masai dada Umefufuka?
 
Na vitimoto na nini kuanzia jumatatu jamani mpaka jumapili mnapata wap ela jamani....mbona michakato tunafanya sawa wenzetu mnatoa wapi ela nyingi.
Tupeane hiyo michongo
Dah.... kwenye ATM umeenda kujaribu?[emoji41]
 
Back
Top Bottom