Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Habarini,
Ukubwa ni jalala jamani.
Sasa hivi nimegundua nina vitu vingi sana nashindwa kuvimanage. Mfano nina password za bank 3 tofauti, jamii forums, yahoo, hotmail, Vodacom Mpesa, facebook....nakadhalika.
Juzi nahitaji mtumia mtu pesa kwa M-pesa ya voda nimesahau pin no yangu siwezi kumtumia.....
Wakuu huwa haya ma-password munaya-manage vp? Je munakua na password moja kwa mambo yote yahitajiyo password? Na hii naiona ni risk au ?!....
Hem sheeeni ujuvi hapa
Ukubwa ni jalala jamani.
Sasa hivi nimegundua nina vitu vingi sana nashindwa kuvimanage. Mfano nina password za bank 3 tofauti, jamii forums, yahoo, hotmail, Vodacom Mpesa, facebook....nakadhalika.
Juzi nahitaji mtumia mtu pesa kwa M-pesa ya voda nimesahau pin no yangu siwezi kumtumia.....
Wakuu huwa haya ma-password munaya-manage vp? Je munakua na password moja kwa mambo yote yahitajiyo password? Na hii naiona ni risk au ?!....
Hem sheeeni ujuvi hapa