Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Mimi madhani labda ulitaka kutuchekesha tu hapa jukwaani. Watu wanalalamika kupigiwa wewe unalalamika kulala vibaya!!!
Mhhhhhhhhhhhhh! YA LEO KALI!!!!!!! Mpe valium kidogoo au priton kabla hajalaa, AKILALA KAMA MFU, hata sense ya kurusha mguu hatokuwa nayo.
ha!ha! ha! anakuziba kupumua!wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
yeye akishika hivyo,wewe unashika nini?Kuna vituko jamani! Sasa mimi wangu akilala mkono wake lazima utulie kwenye matiti yangu au kiunoni mwangu. Lazima ashike kimoja kati ya hivyo ndipo alale!
Kuna vituko jamani! Sasa mimi wangu akilala mkono wake lazima utulie kwenye matiti yangu au kiunoni mwangu. Lazima ashike kimoja kati ya hivyo ndipo alale!
Lala na kiboko atatengamaa tu
Ha ha ha ha ha nimechekaje mie kha??!!!
kati ya sehemu hizo we unapendelea akushike wapi?Kuna vituko jamani! Sasa mimi wangu akilala mkono wake lazima utulie kwenye matiti yangu au kiunoni mwangu. Lazima ashike kimoja kati ya hivyo ndipo alale!
unauliza ubichi keini??? lazma nitie maguu, chezeiya bata weye??!!
Offcourse bora kiuno tu, mambo ya kushikwa matiti wakati nataka kulala haihusu! Nakuwa nashindwa kulala maana matiti yanasisimka!kati ya sehemu hizo we unapendelea akushike wapi?