nipo my dear! bado natafakari huo mlalo wa mwanamke mwenzetu, mpaka mumewe kumfungulia thread, lolest!hahahaaaa!!! kumbe kuna umuhimu wa kulala pamoja kabla ya kufunga ndoa ili kufahamu matatizo ya mwenzi wako lol!!!!
hujambo bidada????
unauliza ubichi keini??? lazma nitie maguu, chezeiya bata weye??!!JF raha bana....asikwambie mtu....vp Tanga utakuja....?
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..that good!
Mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
Nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
Miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? Ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
Story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
Ha ha ha ha ha nimechekaje mie kha??!!!
unauliza ubichi keini??? lazma nitie maguu, chezeiya bata weye??!!
Hunishindi best,jf raha sana. Uko poa lakini?
Atakuwa hamkolezi eti, mwanamke ukimkoleza kisawasawa lazima atalala kwa utulivu ajabu eti. Mweleze jamaa yako ajitahidi kumkoleza akimfikisha mara mbili hivi kabla ya kulala, wakilala saa nne makeke yataanza 11 au 12 kukiwa kumekucha.
Lala na kiboko atatengamaa tu
Kweli hii ni dawa tosha,ukipiga k ipasavyo ukamfisha anapotaka yeye, atalala usingizi mnonoHuyo ananifa mimi, dawa yake ni kumgonga ngozi usiku kucha, kila akinipandishia mguu mimi napanda juu ya kifua halafu namgonga mpaka ahame kitanda na kwenda kulala kwenye makochi.
Fanya hivyo, lazima atatulia maana baada ya dozi atalala usingizi wa porn.