Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,775
- 9,203
mtoto yake pipi, kwenu hulijui hilo?Usiniambie Nazjaz!!
Kumbe hiyo solamboko ndo inakutulizaga wakati unamsumbua baashishi wako?
mtoto yake pipi, kwenu hulijui hilo?Usiniambie Nazjaz!!
Kumbe hiyo solamboko ndo inakutulizaga wakati unamsumbua baashishi wako?
natamani mhusika mwenyewe ndie alete tatizo lake lakini ili linaloletwa na third party napata kigugumizi kutoa ushauri, au wewe mwenyewe ndie mhusika??story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
Lala na kiboko atatengamaa tu
Hazikutoshi wewe tena ni gek kabisaa... Hilo ndio umeona la kulileta hapa... mpe kitanda cha peke yake Kama unaona usumbufu...
kwi kwi kwi kwi! kuna vituko jamani kha! kuta zinaziba mambo, mfunge na bamba mikono na miguu, lolest!
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
Atakuwa hamkolezi eti, mwanamke ukimkoleza kisawasawa lazima atalala kwa utulivu ajabu eti. Mweleze jamaa yako ajitahidi kumkoleza akimfikisha mara mbili hivi kabla ya kulala, wakilala saa nne makeke yataanza 11 au 12 kukiwa kumekucha.
Mhhhhhhhhhhhhh! YA LEO KALI!!!!!!! Mpe valium kidogoo au priton kabla hajalaa, AKILALA KAMA MFU, hata sense ya kurusha mguu hatokuwa nayo.
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
Lala na kiboko atatengamaa tu