JiweLinaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,737
- 2,139
.mrudishe kwao . .
mmhh halafu kei atakuwa anapata wapi?? mbona madogo hayo yanarekebishika acha kumponza....
.mrudishe kwao . .
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!
mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!
nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..
miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........
story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
nunua mikanda, akisha lala mkaze kitandani kwa hiyo mishipi
Au ana kifafa! Aonwe na wataalam wa akili.