fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
heshima kwenu jf!naomba mnisaidie kujinasua kwani kwa juhudi zangu nimeshindwa.mwenzenu nimejikuta nikiangukia ktk mtego wa mapenzi na mke wa m2 baada ya vishawishi vyake vya mda mrefu, hata kufikia hatua ya kutaka kuondoka kwa mumewe kwa madai kuwa ana ujauzito ambao anadai mi nimehusika akidai nikaishi nae kwe2.jamani ushauri na uzoefu wenu utumike kunisaidia.