Marry Diana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,418
- 4,113
- Thread starter
- #101
Hili jukwaa ni maalumu Kwa Mapenzi, Mahusiano, Urafiki.acheni kugeuza jukwaa kua la kichangudoa
MMU
Nenda majukwaa mengine
Hili jukwaa ni maalumu Kwa Mapenzi, Mahusiano, Urafiki.acheni kugeuza jukwaa kua la kichangudoa
Naelewa ila Acha niwanyooshe na hainiumizi etiUsikoleze moto kwa kuonesha maumivu yako.. Sometimes unakaza roho unapita kimya unavumilia yanapita. Kwakuwa ukweli unao mwenyewe na huhitaji kumthibitishia yeyote anayekutuhumu kwa lolote.
Hakuna jibu baya kama UKIMYA. !
MMU ndio uchangudoaHili jukwaa ni maalumu Kwa Mapenzi, Mahusiano, Urafiki.
MMU
Nenda majukwaa mengine
wauza magari wanawalipaga magari wale promotersNamsaidia kutangaza biashara yake 😂
Sio Merry bali ni MereAcha umalaya merry shauri lako
nakupenda maryMnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.
Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.
Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema eti watabaki na Mimi Malaya,kivipi niliwahi kuwauzia wapi,
Mnikome,mnikome sipendi.
Wewe mbaga na mwenzio sijui mkangafu acheni mambo yenu ni lini mliwahi kuni****
Haoooooh waone na misura yenu mibovu, mxieeew
Anamuonea Wivu malaya mwenzake kisa amemzidi vigezo 🔥Sikuona umhimu wa wewe kuanzisha uzi kuja kuwazodoa wanaume yaani wanawake sijui kwanini mliumbiwa wivu wa kiwango hicho. Umeona mwenzako Nusrat anapongezwa wivu ukakujaa
Na wewe unajitetea mno! Si ukae kimya Sisi ndio tukujaji! Unaharibu bwana!Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.
Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.
Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema eti watabaki na Mimi Malaya,kivipi niliwahi kuwauzia wapi,
Mnikome,mnikome sipendi.
Wewe mbaga na mwenzio sijui mkangafu acheni mambo yenu ni lini mliwahi kuni****
Haoooooh waone na misura yenu mibovu, mxieeew
Jukumu la mahari ni la mtoto ama mzaziNipe Milioni kumi tu
Kama mtu ameshindwa kuheshimu mwili wake yeye mwenyewe, Ndo wengine waje kumuheshimu?kwa ufupi, mheshimuni Marry Diana
Kipa tuu kakimbia goliAise mali ni mpya au ntakuta used 🤣.
Jackson QUECA ushaambiwa ukipenda malaya, kubali uused wake 🔥Kipendacho roho
Malaya Hawez kuwa na maneno masafi mdomoni mwakeMama yake anahusikaje kwenye huu mjadala wako?