Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

Tatizo liko kwenye ID yako.
Ina kaharufu fulani hivi amazing kinchovutia nzi wa chooni.
Upo sahihi, kuna watu wana mada, avatar na I'd zenye kuonekana ni malaya, afu akiitwa malaya anaona anatukanwa.

Ht yule anayejifanya kujutia kuwa malaya nae nilikua namuita malaya kutokana na anachoandika na kuna watu walikuwa wananipinga na kuona namkosea adabu.
 
Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.

Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.

Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema eti watabaki na Mimi Malaya,kivipi niliwahi kuwauzia wapi,
Mnikome,mnikome sipendi.

Wewe mbaga na mwenzio sijui mkangafu acheni mambo yenu ni lini mliwahi kuni****

Haoooooh waone na misura yenu mibovu, mxieeew
malaya ni nani....?
 
Back
Top Bottom