Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

Jamani Mimi siyo Malaya, tuheshimiane

Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.

Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.

Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema eti watabaki na Mimi Malaya,kivipi niliwahi kuwauzia wapi,
Mnikome,mnikome sipendi.

Wewe mbaga na mwenzio sijui mkangafu acheni mambo yenu ni lini mliwahi kuni****

Haoooooh waone na misura yenu mibovu, mxieeew
Kuna mifumo ama kanuni za kisaikolojia zisizobadilika ujue!

Hivi ukiitwa 'mwizi' wakati wewe kiuhalisia si mwizi unaweza ukakomaza fuvu na kutumia nguvu nyingi kulalamika na kubishana?

Kwenye ukweli, uongo hujitenga.

Usiwe na presha na maneno ya walimwengu, yatakutoa kwenye reli.
 
Mnakera,mmenikera hamnijui , siwajui.

Kuna post ya Nusrat imepostiwa si muda mwingi,anasema sijui alikuwa anajiuza sasa kaacha,sijui anataka kuacha.

Cha ajabu kwenye komenti kuna mijitu inasema eti watabaki na Mimi Malaya,kivipi niliwahi kuwauzia wapi,
Mnikome,mnikome sipendi.

Wewe mbaga na mwenzio sijui mkangafu acheni mambo yenu ni lini mliwahi kuni****

Haoooooh waone na misura yenu mibovu, mxieeew
Utavimba upasuke bila sababu. Mtu hawi malaya kwa kuitwa tu malaya. Mtu huwa malaya kwa kufanya umalaya! Bila kufanya umalaya, unaweza kuitwa malaya hata 24/7 na bado hutakuwa malaya!
 
Back
Top Bottom