kwa lawamaaa...
tofauti kubwa ya mwanamke na mwanaume ni vitu viwili vikubwa!
1.kupendwa ---- -------hapa ndio ulimbo wa mwanamke ulipo! anataka kupendwa na kubembelezwa!
2.kuheshimiwa ============== hapa ndio ulimbo wa wanaume ulipo! kupendwa sio big deal we mheshimu tu mpe ufalme!
ni ngumu kumpenda bila kumheshimu! ni rahisi kumheshimu bila kumpenda!