Huyu anapima kina cha maji, akiona hawezi zama basi ataamua kuchukua mzigo jumla. Yaani kuwa makini mtu wangu, hapo anatafuta udhaifu wako na kuangalia umesimamia miguu mingapi. Akiona utamzidi nguvu basi anaachia ngazi. Umenipata?
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?
I doubt, huyo mwanamke aweza kuwa mkurya! lol
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?
hahahahahaha mtake radhi hiyo mimba atabebea mgongoni au
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?
Wewe kijana nikuulize.....
Huyo mpz wako asingekuwepo hufui hupigi pasi nyumba husafidhi hupiki huogi huchoti maji
Wewe kijana nikuulize.....
Huyo mpz wako asingekuwepo hufui hupigi pasi nyumba husafidhi hupiki huogi huchoti maji
Fanya kitu kwa mapenz yako na si kwa kuamrishwa na ukiona unaamrishwa hivo mwanzon,naamn kwenye ndoa itakua balaa sana na aib kubwa sana so take care mapema mana usije anza aibika na kuitwa Bushoke mana yeye ataenda kuhadithia wenzake kua nimemuacha anafua na kupiga deki na hata wazaz wako wakisikia,wengine wanaweza kuzimia na kujua kua hawajazaa kidume rijali so watch out brother