Jamani mbona nafanyiwa hivi

Jamani mbona nafanyiwa hivi

Kwan huwez kujua nin cha kufanya na kip usifanye mpaka uulize huku? Thats why unaamrishwa coz huez kuamua mwenyewe haya fanya kama anavotaka mwenzi wako
 
Huyu anapima kina cha maji, akiona hawezi zama basi ataamua kuchukua mzigo jumla. Yaani kuwa makini mtu wangu, hapo anatafuta udhaifu wako na kuangalia umesimamia miguu mingapi. Akiona utamzidi nguvu basi anaachia ngazi. Umenipata?

hapo nimekusoma bwana mkubwa
 
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?

I doubt, huyo mwanamke aweza kuwa mkurya! lol
 
hapo ni dem tu akiwa mke je?
kama nakuona kidume unakata kiuno kudeki, huyo dem wako hana adabu....
 
mmmhh kwaio anaiga wenzie wanavyofanyiwa
 
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?

Mkuu ukikaribisha utawala bora nyumbani jua umeuza uhuru na mamlaka yako kama kiongozi wa familia. Kabla ya uchumba ameanza hayo jua wazi ukimuoa utakutana na makubwa zaidi.
 
Kama roho yako imekwisha kataa kufanya hizo kazi na ukatae jumla, asipoelewa si riziki huyo!
Chonde usifanye kitu kwa kutazamia "utabadili" utaratibu aliokuwekea mbeleni (kila mmoja anatakiwa kusema "No' kwa vitu anavyoamini ni "No" kuanzia mwanzo wa mahusiano, otherwise mtakuja kushikana mashati mbeleni)
 
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?

Kama wewe unafanya yote hayo yeye anafanya nini ndani ya nyumba??? kusaidiana sio kubaya but kwa jinsi inavyoonekana nyie hamsaidiani but kuna mmoja ni master na mwingine ni mtumwa... sidhani kama ni mtu sahihi kwako
 
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?

Yaani mkuu we ni ME lakini unapewa vi amri na KE? Uanaume wako uko wapi sasa? Ujue hatari sana inaelekea hata huyo dem wako kakudharau sana au ni MARIOO?


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Wewe kijana nikuulize.....
Huyo mpz wako asingekuwepo hufui hupigi pasi nyumba husafidhi hupiki huogi huchoti maji
 
Wewe kijana nikuulize.....
Huyo mpz wako asingekuwepo hufui hupigi pasi nyumba husafidhi hupiki huogi huchoti maji

nikiwa gheto nafanya lakini kwenye maandalizi ya kuachana na ubachelor haina maana yoyote hapo kuna dalili za kulimbwatika
 
Fanya kitu kwa mapenz yako na si kwa kuamrishwa na ukiona unaamrishwa hivo mwanzon,naamn kwenye ndoa itakua balaa sana na aib kubwa sana so take care mapema mana usije anza aibika na kuitwa Bushoke mana yeye ataenda kuhadithia wenzake kua nimemuacha anafua na kupiga deki na hata wazaz wako wakisikia,wengine wanaweza kuzimia na kujua kua hawajazaa kidume rijali so watch out brother
 
Fanya kitu kwa mapenz yako na si kwa kuamrishwa na ukiona unaamrishwa hivo mwanzon,naamn kwenye ndoa itakua balaa sana na aib kubwa sana so take care mapema mana usije anza aibika na kuitwa Bushoke mana yeye ataenda kuhadithia wenzake kua nimemuacha anafua na kupiga deki na hata wazaz wako wakisikia,wengine wanaweza kuzimia na kujua kua hawajazaa kidume rijali so watch out brother

thanks bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom