Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
hello jf
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?
nina mpenzi wangu ninaye mfahamu mimi tu bado sijampeleka kwa wazazi ila anaonekana ana via amri amri vya ajabu ananitaka nimpikie chakula nisafishe vyombo ni pige deki kisa tu majirani wanaotuzunguka waume wa hao watu wanafanya hayo so kwa upande wangu naona ni jambo la ajabu maana kufanya hivyo anaweza kujizoesha kuni amrisha
sas je nipo sahihi au sipo sahihi? Kwa nini ?