Jamani makamba anazeeka vibaya!!!!!

mbona makamba ni zuzuz magic wa ukweli..
Pole sana kwa kuchelewa kuling'amua hilo.
Tangu amepata post hiyo ya ukatibu mkuu chama kimekuwa vururu vururu.
Hakieleweki kabisa anachokifanya ndani ya chama.
Hana mission wala vision
 
People, GROW UP!,...... this's what we call POLITICS!
 
...Bad Politics...................................
 
suwahi!!! alla!!! sisi tumefiwa wewe unareta muchezo haya na hilo jimbo ibeni kura? muone kutageuka kama Kenya pambavu ......Leteni mabadiliko ndani ya GOV
 
How unamchagua mtu bila kufanya research yako?

NDUGU ANGALIA RESEARCH NYINGINE ZA KINA

"""DK"" NCHIMBI

"""DK"" KAMALA
 
People, GROW UP!,...... this's what we call POLITICS!


Right on Kui.Politics ni uongo uliokomaa na bila uongo hakuna politics si unaona watuw ote waliokuwa kwenye politics ni wasanii tuu.i don't see a point ya watu kumalalamikia makamba wala kikwete mapaka hapo.


Research ipo na unajua nini naongelea kama nilivyokwambia ngoja niwasiliane na watuw enye access na hizo archives usiwe na haraka sana kaka.

najua unataka apply ile kitu inaitwa innocent until proven guilt.of course upo innocent now na hii nakupa kitu na box mjomba haraka haraka haina baraka vuta subira.All things are a re possible.
 

Na huyo ndiye aliyeteuliwa na Muungwana amsaidie kulivusha jahazi letu la ccm kuelekea kaanani (ipi?).

Mimi sina tatizo na Makamba, ila ninashaka na aliyemteua kwani anamuona anafaa sana (tehe)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…