Jamani likaka langu limelogwa

Sijui kama haya mambo yana mila mi sijuhi mila hata moja kwenye hili ila nazungumzia logic tu. Mama yako kama ana shida inabidi akuombe wewe hata kama huna kazi; kumuomba mumeo si njema sana maana kuna kumfanya atoe kwa sababu ya aibu ya ukwe; same kwa upande wa pili. Mimi mama mkwe akiniomba pesa kwa kweli kwangu inakuwa ni challenge na lazima nitampa tu ili asinichukie; lakini mama yangu ntampa kwa kuwa ninazo niko free kumwambia uwezo wangu.

Nakubaliana nawe kabisa NK.
 
Kabisa Lizzy!, huyu dada hana adabu kabisa hata kama hana uhusiano mzuri na mama mkwe lakini majibu yake kwa kweli waume wengi hawawezi kuyakubali maana yanaweza kuzua varangati la kufa mtu ndani ya nyumba na huyo mke kujutia majibu yake yaliyojaa ufedhuli wa hali ya juu. Yaani hamsini elfu ndio isimamishe ujenzi wa nyumba!!!! Duh! Kazi kweli kweli!!!
Kweli kabisa mtu kakuzalia utamu wako unamjibu kihivi! wanawake wengine wameumbwa bila haya, hata kama huyu binti ni mchoyo BAK, angetafuta mbinu ya kumwambia mumewe apunguze misaada kidogo,ili wafanye mambo yao,kwa kweli as long mambo yangu yanaenda vizuri, wanangu wanasoma shule nzuri, na home pako fresh, watoto account zao zinaingiziwa pesa, acha tu asaidie, na kama ulivyosema, mwanaume mwingine anakutoa tu meno ya mbele ukimtukania mama yake
 
MJ1 kama ujuavyo mila zetu katika makabila yetu nchini zinatofautiana sana. Kwa wengi hili la mama kwenda kumuomba msaada binti yake moja kwa moja halina tatizo kabisa lakini kwa wengine haliruhusiwi kabisa. Juzi nilikuwa nazungumza na marafiki zangu sasa katika mazungumzo tukawa tunaongelea mke kwenda kutembea kwao na kufikia kwa Wazazi wake katika mazungumzo hayo nikagundua katika baadhi ya makabila hili haliruhusiwi kabisa na linaweza kuzua mtafaruku mkubwa wa kulipishana faini na kutoa sababu kulikoni hadi binti akafikia kwa wazazi wake badala ya kwa upande wa mumewe. Kwa hiyo inategemea sana na mila za wahusika.
.........Aksante shem, leo siujutii muda wangu humu JF MMU imenikuza....sasa ninaelewa mwe. Ndoa kumbe ni pana namna hii?! Masikini sasa hiyo ishu hapo ingekuwa vema kama watu mnaelezana miiko na vijiko vya makabila yenu kabla ili mmoja asijefanya kinyume akidhania yuko sawa tu.

Sijuhi kama haya mambo yana mila mi sijuhi mila hata moja kwenye hili ila nazungumzia logic tu. Mama yako kama ana shida inabidi akuombe wewe hata kama huna kazi; kumuomba mumeo si njema sana maana kuna kumfanya atoe kwa sababu ya aibu ya ukwe; same kwa upande wa pili. Mimi mama mkwe akiniomba pesa kwa kweli kwangu inakuwa ni challenge na lazima nitampa tu ili asinichukie; lakini mama yangu ntampa kwa kuwa ninazo niko free kumwambia uwezo wangu.

.................Aksante nyumba kubwa umenikumbusha kesi moja, mama alimwomba mwanae shilingi 20,000.......na wakati huo mwanae alikuwa anaishi mbali na mr kutokana na kazi; mdada ana kazi nzuri na anajiweza. Akampa mamake but akamjulisha na mumewe loooh kosa mume akamnunia kwa nini umetoa.ikawa reference sasa nafikiri pengine ndo makabila anayosema BaK hapo juu. Mwe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kweli kabisa mkuu, watu tunasahau tulikotoka sana aisee
Duh hii ni zaidi ya roho mbaya, pole mdada ndio hivo mliobaki mtafute kazi za maana au biashara mumtunze mama, kaka yenu ndio keshapotelea tayari, wallah wifi kama huyu mnavizia kaka hayupo mnamchapa fimbo za kutosha then undugu ndio unakuwa umeisha na kaka yenu
 
Lakini mjue... mama siku zote akitaka msaada hatokwenda kwa watoto wake wa kike walio olewa... atakimbilia kwa mwana wake wa kiume aliyeoa... hapa mimi nichoona huyu kijana anakimbia majukumu yake ukiangalia ustaarabu wetu wa kiafrika.. yeye kama mtoto wa kiume ndiye anatakiwa amtunze mama iwe anaumwa... anataka kula... sio dada zake amabo wameolewa na kwenda familia nyengine... hawa wanatakiwa wawe last option!

ningekuwa karibu huyu kijana ningempiga VIBAO!!:yell:

nani kama mama!.....
 
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?

Hiyo red inaashiria tofauti na unavyotaka tuamini.
Waswahili wanasema "Fahari wawili hawakai zizi moja", yaani ,kama mke wa kaka yenu ni mzee yussuf na nyinyi ni hadija kopa basi nadhani keshokutwa utaanzisha sredi nyengine " wifi katia diesel kwenye ugali wa mamkwe".

Suluhisho ni upande mmoja ukubali kujishusha na kuona thamani ya upande mwengine na sio kuona makasoro tu kama hapo juu ulivyoandika, Pia muache kumuingilia ingilia sana bro wenu kwenye maisha yake ya kifamilia, nasema hivi kwasababu inaonekana chimbuko la matatizo ni kwamba nyinyi hamumtaki na hamumpendi huyo mke wa kaka yenu.

WARNING: mkiendelea kumkera kera sana bro wenu kwenye ndoa yake nitaripoti hii hali kwa Mods.

Nimemaliza na niko serious kweli kwenye hii post.
 
Nyumba kubwa wajua mie hii mada inanipa picha tofauti kabisa! Nafikiri mleta mada ndo ameniinfluence<br />
<br />
Yaani naiona kama ni mojawapo ya zile familia zenye kuwekeana nyimbo za mipasho, khanga za mafumbo na vicheko vya halo haloooo utajiju' vile ambapo mke hata huo uwezo wa kutambua hii ni kesi nauziwa hana anachokiwaza yeye ni .... Eheee ngoja niwakomeshe....
<br />
<br />
hata mimi nafikiri hivyo. Kuna mengi yamejificha maana kwa tukio moja tu asingeconclude kwamba kaka amerogwa au mwanamke ni mbaya. Nahisi walikuwa katika majibizano ya kukera na ndio maana mkwe amepewa jibu hilo (ingawa si jibu zuri)
si ajabu hata huyo mwanaume kashachoka.
 
sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo
udogo unaupima vipi? Toa ushauri ukishindwa piga kimya, we unayajua maisha wanayoishi?
 
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?

Disclaimer: Sitetei wala kuunga mkono tabia chafu na ukosefu wa heshima kwa mzazi..Ok tuendelee..


Kwanza post imeshamuhukumu huyo mke wa kaka, hivyo nadhani sisi wadau ambao hatujui kinachoendelea inabidi tuwe waangalifu kwani kwa kutegemea source ya info ya upande mmoja twaweza kujikuta tunalalia upande mmoja.


Niki- assume hayo ya kwenye post ni sahihi basi huyo dada amemkosea mzazi heshima na hafai. Hata kama mapenzi ni ya watu wawili hata Mungu ametupa amri ya kuwaheshimu baba na mama. Kama mke wangu atakosa kumuheshimu mzazi wangu basi atakuwa amenikosea mimi, familia yangu na Mungu hivyo inabidi ategemee adhabu kali kama hatoomba msamaha kwa vitendo. Kwenye post hujasema kama baada ya kumsema alikubali na kuomba msamaha au iliishia vipi kwani hiyo issue lazima iishe kwa furaha au uchungu.


Pili, nikisoma naona mama aliomba jiko kwa kaka lakini jibu lilitoka kwa mke. Nadhani ni vizuri kabla ya ku-attack mke ilibidi muwaite kaka na mke kwa pamoja mbele ya mama na kumuuliza kwa nini kaka akumjibu Mama (kaka ajue yeye ni kaka, Baba ameshafariki hivyo kaka amebeba majukumu ya baba). Kama mke alikuwa kimbelembele kumjibu mama..basi ni muunganiko wa nilichoeleza hapo juu..Tabia chafu labda tu kama angejibu kwa niaba ya kaka kwa majibu ya busara..

Labda mmeshafanya hili lakini nadhani inabidi wakati mnampa kaka vijembe vyake inabidi mke wake awepo na muweke wazi kuwa ninyi binafsi hamtaki kula mali zake (inapingana kidogo na ulichosema "ili aweze kufaidi peke yake" ) ila mnachotaka ni kuwa kaka ajijue kuwa yeye ni kaka na anamajukumu ya ukaka hamna nia na mali zake. Kutokana na mila zetu za kiafrika kaka akiwa hata mdogo anasehemu yake na heshima yake katika familia. Hamuwezi kumlazimisha lakini mnaweza kumsaidia ajue hilo. Jaribuni kuweka wazi kuwa kaka sio lazima atoe hela yake kwa mama kama yeye ajisikii aache na Mungu atamuadhibu binafsi kama sio leo basi ni kesho.


Kikubwa ni kuwa mtambue nyinyi ndugu mna limitation (wigo) katika maisha ya kaka na mke wake. Lakini mkumbuke pia mna ushawishi na wadau..mnaweza kumsaidia kaka yenu lakini inategemea kama kichwa chake kina akili au kimejaa mkamasi. Mama asaidiwe na wote. Ukosefu wa adabu wa mzazi na mmoja wenu iwe mtoto, mke, mume, kaka,dada hauvumiliki.
 
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
<br />
<br />
nina hasira na wanawake wa aina hiyo siwapendi hata kidogo.ILA YOTE HERI
 
sasha unaonekana unayaweza kabisa kwann usimuibukie na kumpa mashuti me nakuaminia atamtukanaje maza bana...mlie timing afu unambutua kisawasawa
 
we mkuu una busara sana na bila shaka ndoa yako imebarikiwa kwel kwel...big UP @viper
 
naomba kutofautiana na wewe December. Huu sio ujanja hata kidogo. Hata kama maamuzi wanayoyafanya na mumewe ya kutomsaidia mamake for whatever reason anaishia kumfanya mumewe kuonekana dhaifu! kwa nini hayo maneno ya 'nenda kaibe mahali' huyo kaka asimtamkie mamake mwenyewe? ujanja ni kuwa na amani na watu wote. by the way, huyo mwanaume si anampa mamake hela zake alizovuna kwa jasho lake? anawanunulia pombe wanaume wenzie wangapi huku mjini hadi ujenzi ukwamishwe na kumnunulia mamake jiko? anawachangia harusi watu wangapi ambao wala hawajali wakishapata mchango akiwapigia wanauliza 'nani mwenzangu!'. sitaki kuongelea hela anazohonga for any reason! kwanza aibu zake huyo mwanamke! manake alipaswa amuambie mumewe ''mama hana jiko zuri. magomeni kuna majiko yanauzwa bei rahisi, tufanye maarifa tumtumie!'' wamama wa watu siku ya harusi wanafurahia nimepata binti,kumbe!
tusijazane ujinga jamani. huyo mume amekula na kupikiwa kwenye jiko usilolijua hadi ukamuona handsome huko mjini. shida alizopitia mama wa watu na mwanae huzijui. muache mama wa watu ale pensheni yake! japokuwa mtoa mada na nyie wadada mngemuonesha kaka yenu kuwa mnaweza kufanya mambo yenu. msimdhalilishe mama yenu banaa, hebu jichangeni mumuweke juu asione hakuna tofauti kama angetoa mimba zenu ama kuwazaa na kuwalea kma alivyofanya! afu huyo kaka siku atazidiwa na maisha akiwatafuta mnamkumbusha kwa upole na kumkaribisha tena kwenye familia.

wala!!! inaelekea nyie mmemzoea vibaya huyo kaka yenu, mpo wa5 lakini cjackia mkijichanga kumpa mama msaada, ooh,kaka katoa 50,kaka anunue jiko.... wifi yako mjanja bwana,akiwaendekeza mtamrudisha kijijini wakati mjini patamu.....loh!!!mmezidi.. umeolewa dada?? embu olewa yakukute ww uone utafanyaje,tena ww ndo unaweza ukamfungia huyo mumeo hata kwenda kwao kama ukijua kuwa akienda 2 lazima arudi m2pu,na lyf hii ya bongo she z veeeeeeeeery right.
 
<font color="#b22222"><span style="font-family: book antiqua"><font size="3"><br />
...dahhh,....kuna dalili ndoa hii ilikosa baraka za huyo mama na nyie kina dada tangu mwanzo.<br />
Tatizo ni huko Old Moshi au huyo mwanamke?...kwa experience yangu ndogo ya mambo haya, nahisi<br />
mambo yamewafika kooni huyo kaka yenu na mkewe wanavyoingiliwa kwenye ndoa yao. [Japo sio busara,] wamejionea liwalo na liwe.</font></span></font>
<br />
<br />

Hapa naona lawama zimeelekea kwenye u-old moshi tu! Hii imenifanya nihisi kuna zaidi ya hela kwwenye hili bifu.

Ungeweza tu kumadress wifi yako kivingine si lazima utumie kabila maana siamini ndilo limemfanya kaka yako awe na roho aliyonayo.

(nimekumbuka ile mada ya MJ1 ya mawifi na wakwe)
 
BAK, kwa mwanamke mwenye busara, akiingia tu anaweka ukaribu wa kutosha na mama mkwe na wifi zake. that way (its a strategy too,knw!) inakuwa rahisi hata kusimamia baadhi ya mambo. trust me, kuna vitu vinaweza kuwa na maana kwa mama yako ila ww usielewe na mkeo akaelewa na kumpa support! ila sasa kama mwanamke mwenyewe umeoa ana matusi namna ya huyu mu-oldmoshi, hata mamake mzazi atakuwa anamkimbia. hakuna haja ya kutumia lugha kali kwa mtu aliyekuzidi umri, isitoshe kiasi kwamba anaweza kuwa mzazi wako. huyu mama hata mumewe atakuwa anamtukana hivi hivi, manake kama mtu anajibu msg za mamako kwa kashfa na wewe unakubaliana nae! well, im sorry to say huyu kaka nae yuko weak sana! i guess i love a masculine man!

MJ1 kwa wengi hili la mama kupitia kwa mke halikubaliki kabisa, sijui labda ni kwa mila za wengine, lakini mama anapokuwa na tatizo anatakiwa aende moja kwa moja kwa mwanae na kumueleza tatizo, lakini labda kuna mila nyingine hili haliruhusiwi.
 
na nyie muache kumzonga kaka yenu...yawezekana wote mnatenga midomo awalishe ndio maana mke anakuja juu.
 
Nadhani hilo la ku address kabila mumsamehe bure ni hasira tu. Ndiyo maana hata tukiolewa wazazi wanatuambia tu behave otherwise ndiyo mnatukanwa ukoo mzima! Mfano dada yako akiolewa akawa na vituko vya kupitiliza anaweza afanye hata wadogo zake wasiolewa reference ikiwa ni dada.
<br />
<br />

Hapa naona lawama zimeelekea kwenye u-old moshi tu! Hii imenifanya nihisi kuna zaidi ya hela kwwenye hili bifu.

Ungeweza tu kumadress wifi yako kivingine si lazima utumie kabila maana siamini ndilo limemfanya kaka yako awe na roho aliyonayo.

(nimekumbuka ile mada ya MJ1 ya mawifi na wakwe)
 
Afu usemi wa what goes around comes around una apply hapa pia. Kwani huyo mwanamke hana watoto? Ngoja atapata wakwe wa kumtwanga mangumi na si kumtukana tu. Malipo duiniani. Hamna kitu kibaya kama kumfanya mzazi atoe chozi na kujutia kukuzaa.
 
Back
Top Bottom