samahani,mimi ni she<br />yani ur a real man.bwana hakuna kama mama.hata hivyo tupo wa 4 tunampa taf mother.huyo wakiume amegoma tumempotezea.ila najua one day atajuta sana
<br />
samahani,mimi ni she<br />yani ur a real man.bwana hakuna kama mama.hata hivyo tupo wa 4 tunampa taf mother.huyo wakiume amegoma tumempotezea.ila najua one day atajuta sana
<br />
Nimekuelewa mamii nadhani niko tofauti kutokana na experience yangu na mie kuwa they are my friends kwa kweli kiasi kwamba hata kama anataka kumbom mwanaye huniinfia mie tunapanga mashambulizi. We are so close kiasi kwamba hakuna kitakachotokea kwao nisikijue, so najaribu tu kufikiria Mama anashida ashindwe kunieleza/nishindwe kuijua hadi amlilie mwanae.......... so Naomba nikukubalie mpendwa.
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
...dahhh,....kuna dalili ndoa hii ilikosa baraka za huyo mama na nyie kina dada tangu mwanzo.
Tatizo ni huko Old Moshi au huyo mwanamke?...kwa experience yangu ndogo ya mambo haya, nahisi
mambo yamewafika kooni huyo kaka yenu na mkewe wanavyoingiliwa kwenye ndoa yao. [Japo sio busara,] wamejionea liwalo na liwe.
Ndo maana nkasema tayari ana familia, na nzuri zaidi kumbe na nyie mnazo za kwenu basi jengeni familia acheni mambo mengine!<br />hata cc wote tuna familia zetu tena tumeolewa wote tunatunza familia ukweni na nyumbani pia but kwa mwenzetu wa kiume sasa.utata ndo uko hapo.mbishi kama nyama ya goti.yani tumemchoka na kumpotezea
<br />
Pole sasha but nadhani na nyie pia mna matatizo, how comes mama amuombe mwanae kitu pasipo kupitia kwa mkewe?! Inaonyesha matatizo yako kwenye uhusiano mzima na wifi yenu tangu mwanzo!!
Nyumba kubwa wajua mie hii mada inanipa picha tofauti kabisa! Nafikiri mleta mada ndo ameniinfluence
Yaani naiona kama ni mojawapo ya zile familia zenye kuwekeana nyimbo za mipasho, khanga za mafumbo na vicheko vya halo haloooo utajiju' vile ambapo mke hata huo uwezo wa kutambua hii ni kesi nauziwa hana anachokiwaza yeye ni .... Eheee ngoja niwakomeshe....
Sasa kumbe hata wewe hujui kama kalogwa?
Nnachoweza kusema ni kwamba huyo dada anachofanya sio kizuri na wala sio sahihi hata kidogo.Ajaribu kua na heshima..au anadhani huyo mumewe alishushwa toka mawinguni!
MJ1 kwa wengi hili la mama kupitia kwa mke halikubaliki kabisa, sijuil labda ni kwa mila za wengine, lakini mama anapokuwa na tatizo anatakiwa aende moja kwa moja kwa mwanae na kumueleza tatizo, lakini labda kuna mila nyingine hili haliruhusiwi.
samahani,mimi ni she[/QUOTE
NAPITA TU
MJ1 kwa wengi hili la mama kupitia kwa mke halikubaliki kabisa, sijui labda ni kwa mila za wengine, lakini mama anapokuwa na tatizo anatakiwa aende moja kwa moja kwa mwanae na kumueleza tatizo, lakini labda kuna mila nyingine hili haliruhusiwi.
kabisa lizzy!, huyu dada hana adabu kabisa hata kama hana uhusiano mzuri na mama mkwe lakini majibu yake kwa kweli waume wengi hawawezi kuyakubali maana yanaweza kuzua varangati la kufa mtu ndani ya nyumba na huyo mke kujutia majibu yake yaliyojaa ufedhuli wa hali ya juu. Yaani hamsini elfu ndio isimamishe ujenzi wa nyumba!!!! Duh! Kazi kweli kweli!!!
Aksante BaK wewe na nyumba kubwa mmeniongezea maji kwenye kisima changu cha elimu kusema ukweli nilikuwia naiangalia ishu hii kupitia kwenye kioo changu............kumbe ni ile ya .kioo kioo niambie nani mzuri!!
Sasa hii ya mama kuomba msaada moja kwa moja kwa mwanae, inaapply na kwa mke pia? Yaani mie Mwj1 nimeolewa afu mama ana shida ataniomba mie? au ataniomba niongee na Mr iili amsaidie? sina ujuzi juu ya hili wapendwa
Aksante BaK wewe na nyumba kubwa mmeniongezea maji kwenye kisima changu cha elimu kusema ukweli nilikuwia naiangalia ishu hii kupitia kwenye kioo changu............kumbe ni ile ya .kioo kioo niambie nani mzuri!!
Sasa hii ya mama kuomba msaada moja kwa moja kwa mwanae, inaapply na kwa mke pia? Yaani mie Mwj1 nimeolewa afu mama ana shida ataniomba mie? au ataniomba niongee na Mr iili amsaidie? sina ujuzi juu ya hili wapendwa
sasa weee dada buku 50 tu inakutoa roho mpaka unatangaza humu?? vitu vidogo tu hivyo,,au wee ndo umelogwa?? kwanza umeolewa kweli wewe? labda tuanzie hapo