Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
<br /> <br / kila m2 anafanya kazi na anamaisha yake na wa4 wako mikoani m1 ndo yk mji m1 na mama na yy kaolewa na anamaisha, hakuna anayenufaika wala ku2mia misaada ya mama wote tunapenda mama yetu aish kwa rahaHuenda tatizo sio la kaka yenu, bali nanyie ni tatizo. Kumsaidia mama yenu sion tatizo huenda amekuwa akimsaidia MAMA yenu lakini badala ya yeye kufaidika mnafaidika ninyi. Kila mt atakula kwa jasho lake.