Jamani kwanini wanaume mko hivi

Jamani kwanini wanaume mko hivi

Ingekuwa mimi ni wewe na nina namba ya huyo mwanamke aliyesafiri ningebadili namba nimpe taarifa ya yanayoendelea akiwa huko huko ili ajue atamuacha au na yeye amtafute mzabzab huko huko safarini aburudike.
Mbona connection hizi hanipagi
 
Umeachwa tenaa na lile afrikasti la kijerumani miksa mtz na zawadi zote zile siku aliyokuja kitaa!!!!Shida mnakuaga na matangazo mengii kwenye mambo ya kawaida sema yanahitajigi kujitambua zaidi na usiri pia,,acheni matangazo matangazo yenu mtakazwa na kuachwa sana,,,ukifanyiwa jambo dogo tuu teyari kuja kututangazia humu kwenye sosho media
 
Aliyekuambia utamu Ni ule ule Ni Nani?
Kuna wanawake Wana mashine sio za kawaida na Kuna madimbwi. Kuna wanaojua kuikamulia ndani na Kuna wale kutoka kishumundu a.k.a maliza ufunike halafu wanawaza utawapa sh ngapi.
Hii ni hatari sana sisi wanaume ambao ni bikra yani ambao bado hatujawahi kufanya haya mambo mnatuchanganya.
 
Aliyekuambia utamu Ni ule ule Ni Nani?
Kuna wanawake Wana mashine sio za kawaida na Kuna madimbwi. Kuna wanaojua kuikamulia ndani na Kuna wale kutoka kishumundu a.k.a maliza ufunike halafu wanawaza utawapa sh ngapi.
Doh😎
 
Jamani kwanini wanaume hamtulii mnakosa Nini??

Lazima uwe na mweusi ,mweupe , mwarabu ,mhindi, yaaniwafrika hadi keroo .

Mnachoshagaza serious , ni baada ya jirani yetu mkewe kasafiri na bado ameenda kuleta wadada wawili humo ndani Sasa mnakwama wapi??
Yaani unamsikia kabisa anakula nao good time . Jamani hii sio nzuri kabisa .

Tuambieni humu labda mtu anatakiwa kuwa na mchepuko pia ili aweze kuishi na wewe , kabisa.
Maana hii inaumiza unadhani umeacha mume kumbe kiraka
Sikuizi una watu kabisa kwanini ulichanganya comment umefukiza watu kwenye thread zako kabisa
 
Umeachwa tenaa na lile afrikasti la kijerumani miksa mtz na zawadi zote zile siku aliyokuja kitaa!!!!Shida mnakuaga na matangazo mengii kwenye mambo ya kawaida sema yanahitajigi kujitambua zaidi na usiri pia,,acheni matangazo matangazo yenu mtakazwa na kuachwa sana,,,ukifanyiwa jambo dogo tuu teyari kuja kututangazia humu kwenye sosho media
Mie nasema jirani sisemi huyo hata kswahili anaotea maneno
 
Kwani wewe una Mume?
Kama jirani yako umeshindwa kumsaidia afanyaje?
Siku nyimgine Mkewe akiondoka, mwambie kiraka upo karibu asihangaike kutafuta vya mbali.
Hana hela aisee ataharibu cv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom