Jamani kwanini wanaume mko hivi

Jamani kwanini wanaume mko hivi

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,841
Reaction score
25,350
Jamani kwanini wanaume hamtulii mnakosa Nini??

Lazima uwe na mweusi ,mweupe , mwarabu ,mhindi, yaaniwafrika hadi keroo .

Mnachoshagaza serious , ni baada ya jirani yetu mkewe kasafiri na bado ameenda kuleta wadada wawili humo ndani Sasa mnakwama wapi??
Yaani unamsikia kabisa anakula nao good time . Jamani hii sio nzuri kabisa .

Tuambieni humu labda mtu anatakiwa kuwa na mchepuko pia ili aweze kuishi na wewe , kabisa.
Maana hii inaumiza unadhani umeacha mume kumbe kiraka
 
Jamani kwanini wanaume hamtulii mnakosa Nini??

Lazima uwe na mweusi ,mweupe , mwarabu ,mhindi, yaaniwafrika hadi keroo .

Mnachoshagaza serious , ni baada ya jirani yetu mkewe kasafiri na bado ameenda kuleta wadada wawili humo ndani Sasa mnakwama wapi??
Yaani unamsikia kabisa anakula nao good time . Jamani hii sio nzuri kabisa .

Tuambieni humu labda mtu anatakiwa kuwa na mchepuko pia ili aweze kuishi na wewe , kabisa.
Maana hii inaumiza unadhani umeacha mume kumbe kiraka
Utamu Ni ule ule sema ni kubadili ladha
 
Utamu Ni ule ule sema ni kubadili ladha
Aliyekuambia utamu Ni ule ule Ni Nani?
Kuna wanawake Wana mashine sio za kawaida na Kuna madimbwi. Kuna wanaojua kuikamulia ndani na Kuna wale kutoka kishumundu a.k.a maliza ufunike halafu wanawaza utawapa sh ngapi.
 
Ingekuwa mimi ni wewe na nina namba ya huyo mwanamke aliyesafiri ningebadili namba nimpe taarifa ya yanayoendelea akiwa huko huko ili ajue atamuacha au na yeye amtafute mzabzab huko huko safarini aburudike.
 
Aliyekuambia utamu Ni ule ule Ni Nani?
Kuna wanawake Wana mashine sio za kawaida na Kuna madimbwi. Kuna wanaojua kuikamulia ndani na Kuna wale kutoka kishumundu a.k.a maliza ufunike halafu wanawaza utawapa sh ngapi.
Duuh
 
Ni makamuzi tu wpaka kieleweke....wanaume tushasanda hakuna kuresitishwa in peace na stress
 
Aliyekuambia utamu Ni ule ule Ni Nani?
Kuna wanawake Wana mashine sio za kawaida na Kuna madimbwi. Kuna wanaojua kuikamulia ndani na Kuna wale kutoka kishumundu a.k.a maliza ufunike halafu wanawaza utawapa sh ngapi.
ufunike na kaseti ya msalendo na sambi sote ni sako papangu

Umenikumbusha parefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom