jamani kwanini udom

reginahope

Senior Member
Joined
Mar 26, 2013
Posts
163
Reaction score
30
jamani hiki chuo katika ajira hakifai. mwaka 2010 walitangaza nafasi kuna rafiki yangu alikuwa kamaliza chuo na aliomba akawa shortlisted na wakafanya interview.cha kushangaza hawakuitwa hata mmoja, jamaa kumuuliza lecturer mmoja jibu alilopewa ni kwamba wamecancel ile interview. hivi kweli jamani hawa watu hawajui km watu wanatumia gharama kuhudhuria hzo interview? pia kuna ule usaili wa mwaka jana nadhani tulifanya march nao pia hawakuita watu kazini. hv hao watu shida yao ni nini? hv hakuna sheria ya kuzishitaki taasisi uchwara km hizi?
 
Usiombe kazi ambapo hamna kazi.
 
eti taasisi uchwara..unajua kuropoka wewe anzisha yako basi ambayo sio uchwara.
 
wewe ndo peke yako haukuitwa wengine tuna miaka miwili sasa kazini.

sasa km wewe ukiitwa na usaili ulifanyika march sidhani km miaka miaka miwili ishapita. hata mwaka bado sasa sijui hyo miaka miwili kwako umeipata wapi. hata km ukiwatetea hakuna chuo kibovu katika ajira km udom
 
eti taasisi uchwara..unajua kuropoka wewe anzisha yako basi ambayo sio uchwara.

sina uwezo wa kuanzisha yangu bt hayajakukuta hayo ndo mana unawatetea. kumbuka mtu anatumia gharama kuhudhuria interview halafu unakuja kumwambia interview tumeicancel hivi hii taasisi tuipe jina gani? ukubali ukatae udom bado sana...
 
sasa km wewe ukiitwa na usaili ulifanyika march sidhani km miaka miaka miwili ishapita. hata mwaka bado sasa sijui hyo miaka miwili kwako umeipata wapi. hata km ukiwatetea hakuna chuo kibovu katika ajira km udom

Wacha kulalamikalalamika ewe akili ndogo c ujitahidi kujiajiri ww mwenyewe kama hawakutaki je? ndo maana utaishia kuwa maskini
 
Wacha kulalamikalalamika ewe akili ndogo c ujitahidi kujiajiri ww mwenyewe kama hawakutaki je? ndo maana utaishia kuwa maskini

wewe b.w.e.g.we kabisa na una akili ndogo. tofautisha kulalamika na kusema ukweli.
huna mamlaka ya kumuambia mtu atakufa maskini.
Nyie ndio mnatafuta umaarufu humu.
 
Ni mpaka wapate watu wa dini yao labda! au wa jimbo lao.
 
Mh kama walifanya hivyo kweli wanastahili hilo tusi, wametangaza kazi, watu wamegharamia mastemp, bahasha ,photocopy na printing wakaitwa interview, mtu akasafiri kutoka mtwara mpaka dodoma, nauli kwenda na kurudi, chakula na malazi duh gharama zote hizi then kirahisi unakuja kumwambia mtu tumecancel interview!! Hapa wale walioitwa interview mwaka jana watakuwa hawana hamu tena ya hizo kazi..ngoja niombe mie mwaka huu hawatafanya vile tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…