Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Jamani kwani ni lazima mtu ukifanya harusi utoe kadi za michango kwanini mtu usifanye harusi unayomudu badala ya kusumbua watu na mikadi ya michango! tena kibaya zaidi eti mtu anakuwekea kiwango eti kiwango cha chini laki moja hivi hii kwanza ya kumuwekea mtu limit inatoka wapi? kwa sababu unaniomba na hujui mimi natengeneza kiasi gani au matatizo ya upande wangu!
mi wanajamii nadhani mtu afanye kilichopo kwenye uwezo wake sio kuwa kero kwa wengine kisa michango na hata kama utahitaji michango basi iwe kutoka kwa familia yako tu. hii sio fashion jamani!
au wenzangu mna maoni gani?nipo tayari kuwa challenged juu ya hili!
mi wanajamii nadhani mtu afanye kilichopo kwenye uwezo wake sio kuwa kero kwa wengine kisa michango na hata kama utahitaji michango basi iwe kutoka kwa familia yako tu. hii sio fashion jamani!
au wenzangu mna maoni gani?nipo tayari kuwa challenged juu ya hili!