Membe S K
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 1,407
- 1,302
Spika: ENE KWESHENI?
wABUNGE : kIMYAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA, SIYO KWAMBA HAWANA MASWALI
iLA BABA Umombo, kutema yai, kazi kweli kweli.
Yani nimecheka hadi nikahitajika kwenda maliwatoni moja kwa moja!!!
Yaani hilo swali la spika tu linatosha kuvunja mbavu, alafu kimya cha wabunge kinaleta kichekesho tosha kufanya meno ya mbele yalegee...kicheko kisichoisha ndio kina hitimishwa na sababu aliyoitoa muandishi juu ya wabunge kutouliza maswali.....kweli lugha hii ni janga la kitaifa.