Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,182
Nimeangalia kiwango cha wabunge wetu kujieleza kwa umombo bungeni na nimegundua ya kuwa ipo shida hapo hata huko SADC ambako tunawatuma hawawezi kutuwakilisha vizuri kwa sababu ya kutojua lugha hii ya dunia..................Wagombea wengi wa ubunge wa SADC kupitia bunge letu wameonyesha kigugumizi cha kujieleza kwa lugha ya kiingereza..........................................
Jamani msishangae huko SADC tukiwa tunaburuzwa maana uwakilishi wetu....................Mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhh
Jamani msishangae huko SADC tukiwa tunaburuzwa maana uwakilishi wetu....................Mmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhh