Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Maadhimisho ya siku ya ukimwi Kenya
Mimi pia hicho kiswahili cha hao watu wa Kenya kimeniacha hoi na kucheka sana mpaka mbavu zinaniuma sana, huku nilipo ninao wakenya wa kabila la kikuyu basi hicho kiswahili chao waweza kucheka wanachanganya kiswahili na lugha yao ya kikuyu tehtehtehhahahahahahah lolz.
Kilicho andikwa ndo kimeniacha hoi..
hizo sentensi mbili za mwisho duuhh
sijui ndo wanaita shaggy ...(skumbuki)
Mimi pia hicho kiswahili cha hao watu wa Kenya kimeniacha hoi na kucheka sana mpaka mbavu zinaniuma sana, huku nilipo ninao wakenya wa kabila la kikuyu basi hicho kiswahili chao waweza kucheka wanachanganya kiswahili na lugha yao ya kikuyu tehtehteh
wanajua sana marketing hao jamaa. Dunia inaamini hao ndio mabingwa wa Kiswahili
<br /><i>hahahahahahah lolz.<br />
Kilicho andikwa ndo kimeniacha hoi..<br />
hizo sentensi mbili za mwisho duuhh<br />
sijui ndo wanaita shaggy ...(skumbuki)</i>
Wenyewe wanakuambia "Kiswahili ILIZALIWA Tanzania IKAKUWA MUGONJWA Kenya halafu IKAKUFIA Uganda..........hahahahahahah lolz.
Kilicho andikwa ndo kimeniacha hoi..
hizo sentensi mbili za mwisho duuhh
sijui ndo wanaita shaggy ...(skumbuki)
hahahahahahah lolz.
Kilicho andikwa ndo kimeniacha hoi..
hizo sentensi mbili za mwisho duuhh
sijui ndo wanaita shaggy ...(skumbuki)
Leo nimeDiscover kua Nyinyi waTz mnababaika na sheng yetu
Leo nimeDiscover kua Nyinyi waTz mnababaika na sheng yetu