Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Jf nilivyokumic, kila dk nachokonoa kamchina kangu, asanteni kwa kurudi tena, members nimewamic
Maumivu ya moyo yanaanza kupungua na sasa ndo naanza kkuona umuhimu wa jf!
.
"HERI KIJANA MASKINI MWENYE HEKIMA, KULIKO RAIS MPUMBAVU".
Jf nilivyokumic, kila dk nachokonoa kamchina kangu, asanteni kwa kurudi tena, members nimewamic
nimepungua kilo tano kwa kuikosa jf, kumbe ikifungwa inageuka kuwa diet tosha
Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu BT mambo? Za kupoteana?
Shem wangu hajambo?
Umekua wa kwanza kwangu kukupa Hi baada ya Jf kututoa Segerea/Isanga/Keko/Ukonga/Maweni/Butimba/Kitengule n.k
Unashangaa nini sasa.
.
"HERI KIJANA MASKINI MWENYE HEKIMA, KULIKO RAIS MPUMBAVU".
ujumbe mzito huo ujue?
Ila kama unalenga kuleeee.....
Mmmmh
JF ni kila kitu...
Nilikosa changamoto nyingi sana
JF ni kila kitu...
Nilikosa changamoto nyingi sana