Jamani jamani inatisha sanaaa

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
424052_198270426944887_100002857944129_292407_1558622383_n.jpg
 
Wanaacha vichwa ili mteja asije akadanganywa kwamba ni menu ya mbwa kumbe siyo. Vinginevyo, wateja wasipoona kichwa, watadhani umewambambikizia ya ng'ombe. Watasusa na nyama yako itadoda.
 
Hayo maandishi ni ya kikorea. Miaka ya nyuma korea walikumbwa sana na njaa wakaanza kula nyama ya mbwa, mpaka leo hawajaacha. Nilikuwa korea kipindi flani, hiyo nyama inauzwa bei ghali kuliko nyama ya ng'ombe, kuku au kitimoto. Na wenyewe wanakwambia ni "very healthly" . Too bad walinimixia siku moja na nyama nyingine sikuweza kutofautisha lol
 
Hayo maandishi ni ya kikorea. Miaka ya nyuma korea walikumbwa sana na njaa wakaanza kula nyama ya mbwa, mpaka leo hawajaacha. Nilikuwa korea kipindi flani, hiyo nyama inauzwa bei ghali kuliko nyama ya ng'ombe, kuku au kitimoto. Na wenyewe wanakwambia ni "very healthly" . Too bad walinimixia siku moja na nyama nyingine sikuweza kutofautisha lol

that's thai broda hakuna kikorea hapo...mbwa huliwa wakati wa winter reason ni kuwa anaongeza nguvu na kuprovide joto
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom