Kwa wahehe mate yanawatoka. utawafanya wavunje laptop zao. NDAULI BEEEEH.
Mkuu wahehe ni kweli wanagonga hivi vyombo?Mi nilijua ni story za utani wa jadiKwa wahehe mate yanawatoka. utawafanya wavunje laptop zao. NDAULI BEEEEH.
Hayo maandishi ni ya kikorea. Miaka ya nyuma korea walikumbwa sana na njaa wakaanza kula nyama ya mbwa, mpaka leo hawajaacha. Nilikuwa korea kipindi flani, hiyo nyama inauzwa bei ghali kuliko nyama ya ng'ombe, kuku au kitimoto. Na wenyewe wanakwambia ni "very healthly" . Too bad walinimixia siku moja na nyama nyingine sikuweza kutofautisha lol